Makapuku Forum

Asante bhinamu ...gitaa lenyewe

Ulichoanza nacho ana kumaliza nacho vyote ni vyema japo cha mwisho na mwanzo ni tofaut bin different lakin sawa si ndo furahiiday na tumetimba mapema kujionea mauno ya hii bendiii...uzuri umeona mwenyewe nikikutafutia kifaa unakubar unamuona mtoto demi alivyo na tusker plus redds zimemkaa naona anavorembuaa ...yote heri ila kumbuka msemo wetu kizuri unakula na ndugu yako kama nyama za leo ulivotukaribishaa
 


Ha hahahhaha, ankal bhana, ujue Shunie anavumilia mengi sana maana wewe kila moja ni mbili na mbili ni moja ilmradi tu umiliki hadi tatu huku nne na tano ukiniachia mpwao nijishindie. Mambo ya ukoo haya.

demi nimemuona, kagonga tusker na redds, duh yaani ni kama jiko la shamba hachagui kinywaji. Kwa kuwa anajilipia wacha anywe nitamsindikiza.

BTW ana jina zuri sana
 
Eti najilipia! Pesa ni za Lee.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…