Makapuku Forum

Nilimanishaa vidudu ....vibaragala alafu ulikuwa unaviwekaa mfukonii wote unajaa mafutaa

Kiukweli aunt ysko simuweziii kanikomeshaa

Ila leo yule muhudumu atujibu swal letu ...kipi bora kuwaza bia ukiwa kanisani au kuwaza Mungu ukiwa bar ?? Siku ile tuliishia njian
 
bakulutu sa ngapi binamu au ni kesho
 
Ujue wewe bhinamu ni geniasiiiiii make nilikuwa nawaza akiniuliza risit najibujee ila kwa kuwa nilikukutaa ushafungua vizibo wala hukukumbukaaa...

Mrembo demi nakuja naee leo jiandaee si umetembea na atm??
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…