Kila kitu ni kujipanga jinsi gani ya kutafuta maendeleo.Ila watu ni rasilimali/labour
Nchi nyingi zenye nguvu kijeshi/kiuchumi zina idadi kubwa ya watu
Ila pia zipo zenye watu wachache na maendeleo mfano Rwanda
Inategemeana na mipango
.....
Inawezekana wako honeymoonMimi niko salama. Shedede kapotea pamoja na mkewe. Pengine wana marital issues kwa sababu mbwembwe walizoanza nazo hapa ilikuwa kasheshe. I hope hawajambo huko waliko.
Ile sehemu ya pili iliyokuwa ineripuliwa tu na typos kibao watu walimsema sana (kwa lengo la kumsaidia). Pengine alikereka na ameamua kumwaga manyanga. Ngoja tusubiri!
Angalia mama Tumainilililobarikiwa..... Usijaribujaribu tu. Huna vidonda vya tumbo?Asante mkuu SHIMBA,naweza kula yoyote au mbegu hii tu,ingawa huwa situmii pilipili kabisa,nitatumia kwa ajili ya kinga
Asante Kwa maelezokwa kila watu laki 1 wanauwawa watu 36
Husna njoo ututhibitishie hapaHahaha kweli sie wakinga tuna chachu ya maendeleo binasfi nilianza na mtaji wa mil.4 baada ya miezi mitano nikafikisha mil.15 mwaka ukiisha natumai itafika mil.35
Tupo vizur japo complain haziishi ety sie wachawi BTW all the same sie ndo matajiri zaidi pale kariakoo
N.b sijisifii ni reality
Asante bagheshiMama Mchungaji. Inavyoonekana Mungu Aliweka tiba za kila aina katika miti. Na hii ndiyo ilikuwa chakula chetu kikuu kabla ya gharika. Karibu kila mti ambao hauna sumu una faida kitiba katika mwili wa binadamu. Tungekuwa makini tungeweza kuzuia magonjwa mengi na hata kujitibu kwa kutumia vyakula hivi vya mboga na majani. Ndiyo maana watu wanaokula sana mboga, matunda na mizizi ndiyo wanaongoza kwa kuishi miaka mingi hapa duniani.
Wanasayansi wanasema kuwa pilipili yo yote kali ina compound inayoitwa Caspaicin na inavyoonekana compound hii inaweza kusaidia kuzuia (na hata kutibu) kansa ya utumbo, kuzuia magonjwa ya moyo na kupunguza lehemu mbaya (bad cholesterol). Utafiti bado unaendelea. Hapa chini ni baadhi ya tafiti mbalimbali kuhusu jambo hili. Ubarikiwe tena na tena!
(1) http://www.express.co.uk/life-sty...tment-hot-chilli-peppers-sauce-food-symptoms
(2) http://www.medicalnewstoday.com/articles/280569.php
(3) https://m.medicalxpress.com/news/2017-01-association-hot-peppers-decreased-mortality.html
Haina kwere mkuuWakuu leo kuna mkanganyiko mkubwa wa data
Navyosonga mbele nakuta na kujiua pia kunahesabiwa
Sehemu nyingine kujua pekee
Hivyo naishia hapa maana siwezi kuandika kitu kisichojitosheleza au kilicho tofauti na utangulizi
Hivyo tukutane kesho
************************
Ni tatizo tu lililojitokeza hivyo litanikomaza na kunifanya nizidishe umaskini siku nyingine
Samahani kwa usumbufu na post nilizopost nadelete maana siku zote huwa naandika kitu kisicho na shaka au kupotosha
............
Maana naingia # 5 nakuta data zimebadilikaHaina kwere mkuu
Kazi inapendeza
Sawa,nashukuruMimi niko salama. Shedede kapotea pamoja na mkewe. Pengine wana marital issues kwa sababu mbwembwe walizoanza nazo hapa ilikuwa kasheshe. I hope hawajambo huko waliko.
Ile sehemu ya pili iliyokuwa ineripuliwa tu na typos kibao watu walimsema sana (kwa lengo la kumsaidia). Pengine alikereka na ameamua kumwaga manyanga. Ngoja tusubiri!
Shikamoo mama mchungajiNjema amina asante nawe pia
Maana naingia # 5 nakuta data zimebadilika
Kufika hadi 3 & 1 nakutana na mengine
Siku zote huwa nakuwa na vitu hata zaidi ta vi3 ila nachagua kimoja kilichojitosheleza
Ila leo ni noma
Na ni mwiko kwangu kupotosha watu
......
Shemela huyoHahaha kweli sie wakinga tuna chachu ya maendeleo binasfi nilianza na mtaji wa mil.4 baada ya miezi mitano nikafikisha mil.15 mwaka ukiisha natumai itafika mil.35
Tupo vizur japo complain haziishi ety sie wachawi BTW all the same sie ndo matajiri zaidi pale kariakoo
N.b sijisifii ni reality
HapanaSamahani,
Eti katika kutembea tembea kwako ulishawahi kusikia MMASAI anayezungumza kwa BESI
lol
Mkuu SHIMBA YA BUYENSE nachukua fursa hii adhimu kabisa na kwa moyo mkunjufu kabisa mkuu kukupa majukumu yangu ya uandishi wa story..
Obviously nilikuwa najaribu kuangalia kama kungekuwa na story humu kapuku kungekuwa vip??
Niwazi kuwa kunakuwa kunachangamka
Ile epsode yakwanza uli ihariri vizuri na ilieleweka na watu waliipenda kweli kweli
Naomba kama utaweza kuiendeleza epsode ya 3 au ukairudia epsode ya 2 mambo yatakuwa mazuri kabisa
Niwazi kuwa mimi sina kipaji cha uandishi wa liwaya ila nilikuwa najaribu kama unavyojua sie wakinga kila biashara tunajaribu
Nimeona nikupe wewe kazi iyo naamini itakuwa kazi nzuri na hadithi ya kusisimua kabisa...
My advise: tumia hisia sana katika uandishi wako wa hiyo hadithi
ALL THE BEST
Angalia mama Tumainilililobarikiwa..... Usijaribujaribu tu. Huna vidonda vya tumbo?
Hapana. Mimi nilijitolea kuwa mhariri tu. Kuandika naweza lakini siwezi kuendeleza hadithi yako kwa sababu sitaitendea haki.
Watu wote waliokukosoa katika episode 2 walikuwa na lengo la kukujenga na siyo kukukatisha tamaa. Kuandika unaweza sana sema tu pengine ulikuwa huna muda na hukutulia sawa sawa.
Pengine uko bize. Ukitulia please rudi angalau utumalizie hadithi yetu hata ikibidi uifupishe yote katika sehemu ya 3. Hutatutendea haki kutumegea kidogo hicho halafu utuache katika taharuki (suspense). Ni lazima tujue hicho kiumbe ni nini, kimetoka wapi na kwa nini kimekuja duniani, na ujasiri wa Chief Commander McClaw. Naanzisha hii hashtag hapa Makapuku:
# Shedede Finish Our Story #