6/Derek 'Bertie' Smalls![]()
![]()
Huyu alikuwa ni mwizi aliyebobea huko Uingereza katika miaka ya 1960
Kabla ya miaka ya 1970 alikuwa ni mwizi mwenye jina kubwa kwenye mitaa ya jiji la London
Mwezi Februari 1970 aliongoza genge liitwalo Wembley Mob kuvamia na kuiba pesa kiasi cha Pauni 240,000 katika benki ya Barclays kiasi ambacho ni rekodi kwa kipindi hicho
Kisha akapanda treni na kutimkia jijini Paris kusikilizia upepo
Baada ya juahidiwa kupewa kings na mwendesha mashtaka iwapo atakubali kuelezea wizi ulivyofanyika kwaajili ya faida ya Polisi siku zijazo alikubali kurudi na kutoboa siri ambapo genge zims lolipigwa mvua ya miaka 100 jela ila yeue akasamehewa
.......
hata sura inasadifu huyu yalikuwa yuko vzr kwenye hiyo idaraAhsanteAsante nawe kwa kuja
Wakuu habari zenu!? Leo nimeludi lasimi !!
Umeludi lasimi eeeh!? Karibu sana mkuu!Wakuu habari zenu!? Leo nimeludi lasimi!!
Picha inafikirisha hii. Ipo mijitu hata hapa kwetu inakula vinono vya nchi yenyewe peke yake na familia zao. Wananchi wa kawaida wanaishia kusikia harufu tu. Na mwananchi akijaribu kupeleka mkono wake huko kwenye vinono, timbwili lake si la nchi hii.
Siyo mapato yanayotokana na kodi pekee. Wale wanaougua kansa ya mapafu na magonjwa mengine yanayosababishwa na tumbaku nao wanahakikisha kuwa makampuni ya madawa hayakosi wateja. Kuna vidonge vya kansa sasa vinauzwa mpaka dola 1,000+ kidonge kimoja. Imebidi makampuni ya bima ya-negotiate na pharmaceuticals kupunguziwa bei moja kwa moja. Bidhaa za tumbaku (na madhara yake) ni biashara inayosaidia uchumi katika nchi nyingi duniani. Na kupunguza population is a big bonus!![]()
![]()
![]()
Wanapinga tu kwa maneno ila kuzuia uzalishaji wa tumbaku au kufungia viwanda vya sigara hawawezi
Ni chanzo kikubwa cha mapato katika nchi nyingi duniani
.......
Karibu tenaWakuu habari zenu!? Leo nimeludi lasimi!!
That's life. It can change anytime. Angalia hapa wako madarakani life is good. Na wana bahati hawakula shaba. Watu wengi waliuawa katika mapigano ambayo hayakuwa na sababu yo yote kisa tu abakie madarakani. West Africa kule kidogo wameamka amka. Ukileta mbwembwe za kung'ang'ania madarakani wakati umeshindwa uchaguzi kaa chonjo.![]()
Aling'ang'ania kulala Ikulu hata baada ya kushindwa Uchaguzi![]()
Matokeo yake yeye na First Lady wakatolewa Ikulu na wanajeshi km mbwa
.....
Ndiyo maana bangi inapigwa vita sanaSiyo mapato pekee. Wale wanaougua kansa ya mapafu na magonjwa mengineyo nao wanahakikisha kuwa makampuni ya madawa hayakosi wateja. Kuna vidonge vya kansa sasa vinauzwa mpaka dola 1,000+ kidonge kimoja. Imebidi makampuni ya bima ya-negotiate na pharmaceuticals kupunguziwa bei moja kwa moja. Bidhaa za tumbaku (na madhara yake) ni biashara inayosaidia uchumi katika nchi nyingi duniani!
Salama za kuadimikaNzuri kabisa habari yako?
Aksante mkuuUmeludi lasimi eeeh!? Karibu sana mkuu!
KaribuWakuu habari zenu!? Leo nimeludi lasimi!!
Balikiwa mama!!ZABURI 37
25.Nilikua kijana nami sasa ni mzee,Lakini sijamwona mwenye haki ameachwa Wala mzao wake akiomba chakula.
26.Mchana kutwa hufadhili na kukopesha,Na mzao wake hubarikiwa.
27.Jiepue na uovu ,utende mema,Na kukaa hata milele.
28.Kwakuwa BWANA hupenda haki,Wala hawaachi watauwa wake.Wao hulindwa milele .Bali mzao wa wasio haki ataharibiwa.
29.Wenye haki watairithi nchi Nao watakaa humo milele
30.Kinywa chake mwenye haki hunena hekima,Na ulimi wake husema hukumu.
Baba asante kwa kutuamsha salama ,tembea nasi siku ya leo Roho Mtakatifu tuongoze katika yote,uwe mwalimu wetu,mfariji,mlinzi.
Asante kwakuwa utatenda sawa na mapenzi yako,katika jina la Yesu Amen
SIKU NJEMA![]()
![]()
![]()
Balikiwa MamaZABURI 37
25.Nilikua kijana nami sasa ni mzee,Lakini sijamwona mwenye haki ameachwa Wala mzao wake akiomba chakula.
26.Mchana kutwa hufadhili na kukopesha,Na mzao wake hubarikiwa.
27.Jiepue na uovu ,utende mema,Na kukaa hata milele.
28.Kwakuwa BWANA hupenda haki,Wala hawaachi watauwa wake.Wao hulindwa milele .Bali mzao wa wasio haki ataharibiwa.
29.Wenye haki watairithi nchi Nao watakaa humo milele
30.Kinywa chake mwenye haki hunena hekima,Na ulimi wake husema hukumu.
Baba asante kwa kutuamsha salama ,tembea nasi siku ya leo Roho Mtakatifu tuongoze katika yote,uwe mwalimu wetu,mfariji,mlinzi.
Asante kwakuwa utatenda sawa na mapenzi yako,katika jina la Yesu Amen
SIKU NJEMA![]()
![]()
![]()
Wakuu habari zenu!? Leo nimeludi lasimi!!
SARUFI
Umeludi lasimi eeeh!? Karibu sana mkuu!
Upo sahihi kabisa mdauSiyo mapato yanayotokana na kodi pekee. Wale wanaougua kansa ya mapafu na magonjwa mengine yanayosababishwa na tumbaku nao wanahakikisha kuwa makampuni ya madawa hayakosi wateja. Kuna vidonge vya kansa sasa vinauzwa mpaka dola 1,000+ kidonge kimoja. Imebidi makampuni ya bima ya-negotiate na pharmaceuticals kupunguziwa bei moja kwa moja. Bidhaa za tumbaku (na madhara yake) ni biashara inayosaidia uchumi katika nchi nyingi duniani. Na kupunguza population is a big bonus!