Makanisa yavunje MoU na Serikali...

Makanisa yavunje MoU na Serikali...

mkuu naona mnakimbizana na muda bila mafanikio.

7+ years imeyeyuka, sasa bado miwili na ushehe, naona sasa mnafosi kingi.

nawatakia heri, japo hamtafanikiwa.

Mkuu mapambano hayana kikomo vizazi vyetu navyo vitaendeleza mapambano mpaka kitaeleweka.
 
makanisa yamenufaika sana na yanaendelea kunufaika na MOU pamoja na misamaha ya kodi.

Ndiomana serekali ilipojaribu kufuta misamaha ya kodi kwa taasisi za dini wakapiga kelele mpaka ikashindikana.

Serekali haijashindwa kujenga hosptali au shule, makanisa yaendeshe shule zake na hospt na yaache kutegemea kodi tunayolipa watanzania wote inufaishe watu wachache.

Tuangalie chanzo cha malalamiko ya waislam na tukitibu na sio kujaribu kutibu matokeo kama lilivyofanya tamko la maaskofu leo.

Kuishia kulaumu waislam sio suluhisho, makanisa yajitoe kwenye MOU na yasiingilie mambo ya waislam kama walivyofanya kwenye tamko lao la leo walipozungumzia suala la mwinyi kupigwa kofi au kugomea sensa.
MAMBO Mengine yanaboa kulalamika MOU au kuwa serikali haijashidwa hivi unajua kuwa hospitali nyingi za rufaa ni za taasisi za dini mfano BUgando kanda ya ziwa na KCMC hivi ikiwa serikali kujenga mbona imeshinwa
 
Jamani mleta HOJA hii ameileta kwa mtego, lakini mimi nasema kuwa " DINI ZETU ZIJITAHIDI KUWASOMESHA WAHUBIRI WETU ELIMU DUNIA YA KUTOSHA ILI WAO KUJITAMBUA NA PIA KUWATAMBUA WAUMINI WAO NA MAZINGIRA YAO".

Mimi na Mkristo lakini nimehudumiwa katika Hospitali za Kiislamu na Kikristo pia. Nilienda pale Al Farouk Dispensary Tabata shule nikapimwa na kupewa ushauri nienda Madona Dispensary Tabata Relini ili nipige picha ya X-Ray kifuani na baada ya kupata majibu nikayapeleka Al Farouk nikashauriwa niende kituo cha Afya cha Malcela Tabata ili kupata huduma stahiki na namshukuru Mungu na sehemu zote husika maana nilipona.

Sasa kwa mtirirko huo ni wapi MoU ina tatizo?.

Pale kigamboni kuna hospitali ya Vijibweni au kisiwani, kumbuka eneo hilo ni la waislamu wengi lakini hospitali hiyo ya serikali imejengwa na wakorea kusini na gari la wagonjwa la hosptali hii limeandikwa ni msaada kutoka kanisa la yesu kiristo la korea kusini. Hosptali na gari hili limesaidia waislamu wengi.

Hosptali hii ina hadi chumba cha maiti, X-ray, Utra sound na inalaza wagonjwa wengi tu.
 
Bora yavunje MoU binafsi yangu pamoja na familia yangu hawapati msaada wowote na hiyo MoU tukiungua tunatibiwa kwa pesa zetu, na shule nalipa pesa kusomesha watoto na jamaa zangu...hiyo MoU ni kwa faida ya Kanisa na Wakiristo sijawahi kutibiwa bure wala sijawahi kusaidiwa ada ya shule kwa vijana wangu ni mie binafsi ndio napambana...hiyo MoU hata waivuje leo sawa tu aina faida kwa Waislam. tutaenda Aga Khan, TMJ, Hindu, Regence, kwa pesa zetu.

Pale kigamboni kuna hospitali ya Vijibweni au kisiwani, kumbuka eneo hilo ni la waislamu wengi lakini hospitali hiyo ya serikali imejengwa na wakorea kusini na gari la wagonjwa la hosptali hii limeandikwa ni msaada kutoka kanisa la yesu kiristo la korea kusini. Hosptali na gari hili limesaidia waislamu wengi.

Hosptali hii ina hadi chumba cha maiti, X-ray, Utra sound na inalaza wagonjwa wengi tu.
 
Hawa ndugu nafikiri nao wanaweza kusaini pio hiyo MOU,shida bwana,mtu anayelalamika hata kama ukimsaidia vipi,atalalamika tuu!.Hapa wanataka nafasi za upendeleo bungeni na serikali,hata kama hawajasoma!.Nawashauri wasome na wapeleke watoto shule,baadaye wataona matunda yake.Wakristo waligundua mapema wakapeleka watoto shule,ndo maana wameshika nafasi mbalimbali Serikalini na kwenye makampuni.
 
Maana yangu vizazi vyetu vitapambana na vizazi vyenu kama tusipo acha misingi mizuri.

Bado niko upande wa waislamu tuvunje MOU lakini jambo hili lisitufikishe kwenye chuki kuu tukakuta huko mbele hatuwezi kushirikiana kwa jambo lolote kwa sababu ya kuongeza chumvi nyingi kwa kitu ambacho kilianzishwa na serikali na ndio inawajibika kuvunja kama MOU inaleta malalamiko kwa upande wa kiislamu.
 
Mkuu, mimi mwenyewe naunga mkono kuvunja MOU kwa sababu ya usalama wa nchi yetu lakini sio kweli kwamba kanisa haliwezi kujiendesha sidhani kama hiyo ndio dhamira ya malalamiko ya waislamu. Mimi nadhani hoja hapo ni kwamba MOU imeleta malalamiko na kama ingekuwa na faida hata waislamu wangeomba MOU serikalini ( Rejea hotuba ya Rais KIKWETE siku ya IDD akisema kwa kinywa chake kuwasihi waislamu wapeleke maombi) ingawa hadi sasa taasisi za aghakan zina MOU na serikali.

Kabla ya uhuru na hata kabla ya MOU kanisa lilikuwa na shule na hospitali kama ilivyokuwa kwa waislamu liliendesha kwa fedha za sadaka, zaka, harambee, mavuno, minada, maduka ya kanisa na maegesho ya magari inayofanyika makanisani kwa ajili ya shughuli zote za maendeleo ya kanisa.

Kuhusu posho za madaktari inategemea MOU ilikuwa na makubaliano yapi??? Pengine serikali inalipa madaktari bila kujali dini zao kwani daktari anaweza kuwa wa dini yoyote kama ilivyo kwa mwalimu wa shule ya kanisa. kuwalipa posho madaktari kama lengo ni kupunguza gharama za tiba kwa watu wa dini zote ni jambo jema. Je, wagonjwa wengi ni wa dini ya wakristo?

bado naunga mkono kuvunja MOU.


" This agreement was prepared by Dr. Costa Mahalu, Dar es Salaam University Faculty of Law and was signed by Minister of State in Prime Minister’s Office and First Vice-President, Edward Lowassa. The main purpose of the agreement was to turn over education, health and social services to Christian Council of Tanzania (CCT) and Tanzania Episcopal Conference (TEC). These social services were to be run jointly between the government and the Church. This agreement, that is, the Memorandum of Understanding was prepared and signed without even consulting or informing Muslims. In order for the memorandum to take effect the government had to ammend article 30 of the Education Act No. 25 of 1978. In 2011 the government provided 91 billion shillings to the Church for its development activities.

Just FYI
 
Mkuu naona unajaribu "kukojolea" msaafu hapa!

Ngoja Dr. Barubaru aje!

Wengi wanazunguzia hili bila kulijua.

Kwa ufafanuzi kidogo ni kuwa MOU ya Kanisa na Serikali ilifungwa mwaka 1992 na Edoward Lowasa. Kila mwaka makanisa yenu yanapata Billioni 60 (sasa hivi yanapata Billioni 91) .

Toka 1992- 2011 ni miaka 19= 60,000,000,000 x 18 + 91,000,000,000 x 2= Trilioni 1.29 or Trilioni 1.3. Kutoka katika kodi za WATANZANIA.


Na pesa hizo ni Administration cost. Vile vile Serikali yenu inagharamia Pesa za Uendeshaji (Op Cost) za hospital hizo ikiwemo pamoja na kutoa misamaha ya kodi kwa vifaa vinavyoingizwa na makanisa hayo.



 
Mkuu naona unajaribu "kukojolea" msaafu hapa!

Ngoja Dr. Barubaru aje!

Wengi wanazunguzia hili bila kulijua.

Kwa ufafanuzi kidogo ni kuwa MOU ya Kanisa na Serikali ilifungwa mwaka 1992 na Edoward Lowasa. Kila mwaka makanisa yenu yanapata Billioni 60 (sasa hivi yanapata Billioni 91) .

Toka 1992- 2011 ni miaka 19= 60,000,000,000 x 18 + 91,000,000,000 x 2= Trilioni 1.29 or Trilioni 1.3. Kutoka katika kodi za WATANZANIA.


Na pesa hizo ni Admin cost. Vile vile Serikali yenu inagharamia Pesa za Uendeshaji (Op Cost) za hospital hizo ikiwemo pamoja na kutoa misamaha ya kodi kwa vifaa vinavyoingizwa na makanisa hayo.



 
kwa kifupi sana waislam kila wanachofundishwa/ kuelezwa huwa hawafikiri sana kwa undani maana leo hii hata jambo nilakijinga wenzetu wanasema ndio. kufuta MOU sio suluhisho maana serikali ina depend sana kwenye makanisa angalieni shule, hospital kubwa zinahudumiwa na makanisa na wapa tu mifano michache (paramiho hospital, bugando hospital, etc.) na kuna shule nyingi tu ambazo zinaubora wa hali ya juu sana kuliko hata za serikali na ndio zinaiweka tanzania mahali pazuri kielimu na hata kimataifa kwenye nyaja za elimu
kcmc,st.francis,vyuo vikuu;saut,st.john,st.joseph,tumaini ,teku,arusha university na matawi yake lukuki kila kona ya nchi...udini ni kitu mbaya tukianza kubaguana ni hatari....inabidi taasisi hizi zitoe huduma kwa wote sawa bila kujali dini kwa ustawi wa taifa
 
Mkuu naona unajaribu "kukojolea" msaafu hapa!

Ngoja Dr. Barubaru aje!

Wengi wanazunguzia hili bila kulijua.

Kwa ufafanuzi kidogo ni kuwa MOU ya Kanisa na Serikali ilifungwa mwaka 1992 na Edoward Lowasa. Kila mwaka makanisa yenu yanapata Billioni 60 (sasa hivi yanapata Billioni 91) .

Toka 1992- 2011 ni miaka 19= 60,000,000,000 x 18 + 91,000,000,000 x 2= Trilioni 1.29 or Trilioni 1.3. Kutoka katika kodi za WATANZANIA.


Na pesa hizo ni Admin cost. Vile vile Serikali yenu inagharamia Pesa za Uendeshaji (Op Cost) za hospital hizo ikiwemo pamoja na kutoa misamaha ya kodi kwa vifaa vinavyoingizwa na makanisa hayo.



 
Mkuu naona unajaribu "kukojolea" msaafu hapa!

Ngoja Dr. Barubaru aje!

Wengi wanazunguzia hili bila kulijua.

Kwa ufafanuzi kidogo ni kuwa MOU ya Kanisa na Serikali ilifungwa mwaka 1992 na Edoward Lowasa. Kila mwaka makanisa yenu yanapata Billioni 60 (sasa hivi yanapata Billioni 91) .

Toka 1992- 2011 ni miaka 19= 60,000,000,000 x 18 + 91,000,000,000 x 2= Trilioni 1.29 or Trilioni 1.3. Kutoka katika kodi za WATANZANIA.

Na pesa hizo ni Admin cost. Vile vile Serikali yenu inagharamia Pesa za Uendeshaji (Op Cost) za hospital hizo ikiwemo pamoja na kutoa misamaha ya kodi kwa vifaa vinavyoingizwa na makanisa hayo.
 
Wengi wanazunguzia hili bila kulijua.

Kwa ufafanuzi kidogo ni kuwa MOU ya Kanisa na Serikali ilifungwa mwaka 1992 na Edoward Lowasa. Kila mwaka makanisa yenu yanapata Billioni 60 (sasa hivi yanapata Billioni 91) .

Toka 1992- 2011 ni miaka 19= 60,000,000,000 x 18 + 91,000,000,000 x 2= Trilioni 1.29 or Trilioni 1.3. Kutoka katika kodi za WATANZANIA.


Na pesa hizo ni Admin cost. Vile vile Serikali yenu inagharamia Pesa za Uendeshaji (Op Cost) za hospital hizo ikiwemo pamoja na kutoa misamaha ya kodi kwa vifaa vinavyoingizwa na makanisa hayo.




Ngoja niicopy hii kitu itanisaidia siku za usoni kumbe jamaa wanachukuwa pesa nyingi hivyo zote hizo ni kodi zetu.
 
ukiendelea pesa za umma kuwapa DINI moja ili kuifurahisha na kwa nia ya Kuwaudhi dini nyengine. Msiba mkubwa taifa letu unanyemelea.
 
Wengi wanazunguzia hili bila kulijua.

Kwa ufafanuzi kidogo ni kuwa MOU ya Kanisa na Serikali ilifungwa mwaka 1992 na Edoward Lowasa. Kila mwaka makanisa yenu yanapata Billioni 60 (sasa hivi yanapata Billioni 91) .

Toka 1992- 2011 ni miaka 19= 60,000,000,000 x 18 + 91,000,000,000 x 2= Trilioni 1.29 or Trilioni 1.3. Kutoka katika kodi za WATANZANIA.

Na pesa hizo ni Admin cost. Vile vile Serikali yenu inagharamia Pesa za Uendeshaji (Op Cost) za hospital hizo ikiwemo pamoja na kutoa misamaha ya kodi kwa vifaa vinavyoingizwa na makanisa hayo.

nikiona maandishi kama haya na mapesa kama haya yanyotolewa na serekali kwa makanisa inanijenga kuwa na CHUKI kubwa sana
 
kuchoma makanisa is the ''act of terror'' na hapa ndo ninapounga mkono U.S. na Israel wanapowashughulikia hawa jamaa magaidi.
 
Back
Top Bottom