tanga kwetu
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 2,193
- 1,440
miezi mitatu iliyopita nilijitumbukiza kwenye mjadala wa hii MoU nikiwa ndani ya bus la Tanga-Dar. Swali la kwanza kuwatupiwa wale jamaa wanne waliokuwa wamevaa kaptula ndevu lilikuwa "nani kati yenu kaiona na kuisoma hiyo MoU?". None of them identified himself. Binafsi nimeusoma. Umo humu JF. Nani asiyewajua kwamba ni roho mbaya, chuki, husda dhidi ya wakristo na dini ya kikristo ndio inawasumbua? Kwa kudai, mfumo Kristo hadi Zanzibar ambapo mpo 99% nimeamini nyie mapoyoyo. Hata MoU ikifutwa, mtakuja na lingine, mfano mtalalamika "hospitali na shule za kanisa zinatoza ada zaidi kwa waislam zaidi ya wakristo, huu ni ubaguzi". Ruzuku kwa taasisi za kidini zinazotoa huduma za kijamii zipo nchi nyingi duniani ila mko blinded na chuki. Ukristo na Uislam unaenda along the opposite direction kwa 100%-nyie mpo busy na wivu, chuki, husda, mauaji kwa jina la Allah...sie tupo busy na shule, maendeleo ya watu wetu kiroho na kimwili, upendo, kusamehe na kazi.