Temporary01
JF-Expert Member
- May 12, 2011
- 260
- 70
Serikali haijashindwa, tatizo ni kwamba haijaamua.Serikali imeshindwa kujenga hospitali na shule kukidhi mahitaji ya nchi ndio maana kuna ongezeko kubwa sana la hospitali na shule binafsi. Rejea hotuba ya JK kwa Wauslamu huko Dodoma.
Kama imeweza kujenga kilomita elfu 18 za lami kwa miaka 8 tu dhidi ya efu 11 tangu tupate uhuru iweje ishindwe kujenga hosptl na shule?
Msiitetee serekali kwavile mnanufaika na MoU. Mbona kwenye kuwaongeza mishahara madaktari na waalim nyie ndo mlikuwa mkiilaumu serekali kuwa haitaki kuwapa madokta na waalim stahiki yao wakati uwezo inayo?
Iweje kwenye hili muitete serikali kama sio kwa vile mnanufaika?