Clueless14
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 3,111
- 4,773
Ndo mana nitabakigi kwenye madhehehu yaliyokuwepo miaka na miaka. Nishaapa kanisa la mtu binafsi sihamii ng’oooo!!!
Mimi nilishaachana na hizo habari kitambo sana tu.
Sadaka nitatoa mwenyewe kwa jambo ninaloona mwenyewe linafaa.
Nilikuwa nasikiliza BBC World Service kama kawaida yangu, wakawa wanaongelea habari mpya nilikuwa sijawahi kuisikia.
Kawaida huwa kuna watu wanapenda kuwa dominated katika mahusiano, wanapenda kuna na ma "dominatrix", usually it is about the use of force and humiliation.
Sasa siku hizi kuna mpaka ma "financial dominatrix", kwa mfano mwanamke ana m control mwanamme anam dominate mpaka kwenye mambo ya fedha, mwanamme anampa pesa zake zote mwanamke (wengine mtasema mganga wake mzuri huyo mwanamke, lakini hamna uganga hapo)
Ulivyosema hiyo habari, nikakumbuka hawa "dominatrix", hao Wachungaji nao wanaweza kuwa katika kundi moja na ma"financial dominatrix".
The Wwashington Post did an article on this.
- The Washington Post
Meet the dominatrixes who control men where it really hurts: Their wallets
In a pastel-colored French patisserie in Beverly Hills, Mistress Harley sips on a Bellini topped with raspberries and scrolls through surveillance monitors on her Android. “Oh, look, there’s Ben!” she says, tapping on the screen with her long magenta nails. “He’s naked.”
Speaking into the microphone on the app Nest, which is usually used for things like home security and pet monitoring, Mistress Harley instructs the man to kneel on the floor and bow down to her. He obeys. “You can see that I’ve made him sell all his stuff and even his bed, so he sleeps on the floor,” Mistress Harley explains. “He lives in Sacramento. I’ve actually been considering buying a house in Sacramento and making him rent it from me.”
Mistress Harley — who, like many in this article, refuses to reveal her legal name citing privacy and safety concerns — isn’t forcing Ben to do anything he doesn’t want to do. He is paying her a weekly salary to monitor him throughout the day. Sometimes she likes to cackle at him in the middle of the night via speakers installed in his bedroom. Other times, she’ll demand that he eat only meals that resemble dog food and send her photos as proof.
Read more here - - The Washington Post
Atheists ndio wanaoongoza kutoa sadaka kusaidia watu wenzao.I thought wewe ni atheist..
Atheists ndio wanaoongoza kutoa sadaka kusaidia watu wenzao.
Kwa sababu hawaamini Mungu atasaidia.
Wanaoamini Mungu yupo wanaweza kujibalaguza tu kwa kusema "Tuombe, Mungu atajibu na kusaidia"
Umetoka nyumbani unaamua kuingia kanisani japo kupunguza stress za ugumu wa maisha na matatizo mbalimbali lakini humo kanisani unakutana na michango isiyoisha tena kwa lazima.
Nijuavyo mimi sadaka ni kile ambacho mtu amejaaliwa kukipata
Sasa eti kuna makanisa mpaka wameweka viwango sadaka isiwe chini ya kiasi flani, bado shukrani, bado fungu la 10, bado sadaka ya utumishi, bado sadaka ya madhabahu, bado sadaka ya malimbuko sijui nini. !
Mbaya zaidi kila mahubiri ni kusisitiza utoaji sadaka na michango tu.
Sio siri makanisa yetu mnakatisha tamaa kabisa ukute mtu ni mama wa nyumbani atapataje pesa yote hiyo kama sio mwanzo wa kugombana na mmewe.
Mungu atusaidie.
Hapo nilicho gundua wewe unazungumzia majengo mazur na sio kanisa zur
wewe unajifariji, ulichoandika NI TOFAUTI kabisa , uko nje kabisa ya nilichoandik, na kuendelea kubishana na wewe ni kupoteza muda, Yesu aliwahi kuwalalamikia mafarisayo kwa kuwawekea watu sheria NZITO ambazo hata wao hawatimizi , MIMI mtu hanitishi hata siku moja na hizo sadaka za kuinuliwa , NA NAAMINI MNAZITUMIAA kujilimbikia mali na si msingi wa kwenda mbinguni.
Nnacho faham Mimi kanisa zur Ni lile lenye kumcha Mungu katika misingi ya amli 10 tu nasio habar cha Tass
Ndugu, Yesu aliwalalamika kwa wanasheria , kuwatwisha watu MIZIGO ambayo wao HATA kiduchu hawaibebi, MNAWATWISHA mama zetu na dada zetu mizigo ya sadaka, ambayo nyinyi hambebi ! HILO ni tatizo , hata kwenye mitandao ya kijamii wahubiri wazungu wanawalalamikia sana waafrika kwa mahubiri ya SADAKA na miujiza ! SISI tutawambia ukweli , HUBIRINI INJILI SIO KILA SIKU MNAWATWISHA DADA ZETU MIZIGO YA SADAKA TU. MAHUBIRI YA KUTAJIRIKA TU KILA SIKU , KUPATA KAZI NZURI UKITOA SADAKAUkweli ndio huo,kama hautaki endelea kujidanganya.
Yesu alipokua hapa duniani alifanya vitu vikuu vitano(5).1 alihubiri,2.alifundisha,3.alitoa pepo ,4.aliponya wagonjwa na 5. alifanya miujiza.
Kanisa lolote lisilofanya hayo mambo matano hata kama likiwa kubwa kiasi gani,kanisa hilo limekufa.Na watu wake wanakua wamekufa kiroho.
Mengi ya hayo makanisa uliyoyataja hapo ni mafu.Mengine uliyoandika hapo sina haja ya kujibu coz naona ni ujinga tuu utatoka taratibu taratibu kadiri unavyojitahidi kujua
Sasa kama hawaamini Mungu how do you call it “sadaka” badala ya labda mchango au msaada wa kawaida???
Sadaka ina relate na imani. ♀️
the definition of alms
alms
ä(l)mz/
noun
plural noun: alms
Origin
- (in historical contexts) money or food given to poor people.
synonyms: gift(s), donation(s), handout(s), offering(s), charity, baksheesh, largesse
"alms for the poor"
Old English ælmysse, ælmesse, from Christian Latin eleemosyna, from Greek eleēmosunē ‘compassion,’ from eleēmōn ‘compassionate,’ from eleos ‘mercy.’
Sadaqah or Sadaka (Arabic: صدقة, IPA: [sˤɑdæqɐ], "charity", "benevolence", plural ṣadaqāt صدقات) in the modern context has come to signify "voluntary charity". According to the Quran, the word means voluntary offering, whose amount is at the will of the "benefactor".
Etymology and meaning[edit]
'Sadaqa' literally means 'righteousness' and refers to the voluntary giving of alms or charity.[4] But in Islamic terminology; Sadaqah has been defined as an act of "Giving something to somebody without seeking a substitute in return and with the intention of pleasing Allah."[5] Meanwhile, according to Ar-Rageeb al-Asfahaani “Sadaqa is what the person gives from what he possesses, like Zakat, hoping to get closer to Allah."
Ndiyo maana wengine tunasema hizi dinini siasa tu, watu wanashikiwa vichwa kwa sababu za kiuchumi na kisiasa.Kutoa kulitakiwa kuwe hiari,sio lazima. Hili La baadhi ya viongozi wa dini kumiliki utajiri kufuru hali waumini wao dhoofu hali lina ukakasi kidogo japo utajiri si dhambi.
Sikiliza wewe kipofu wa imani, MUNGU haitaji pesa, wala sadaka, MUNGU anahitaji watu kutenda mema kwa kuzishika Amri zake zote pasipo kuzivunja hata moja. MUNGU anahitaji mioyo iliyopondeka, MUNGU anahitaji UPENDO na REHEMA. Kama unatoa sadaka wakati huna upendo kwa binadamu wenzako, sadaka yako ni bure kabisa! Kama utanatoa mamilioni ya sadaka kanisani, lakini huzishiki Amri Kumi za MUNGU sadaka zako ni bure kabisa!Kazi kwako kama utaendelea kukumbalia hizo roho zidanganyazo au utaamua kutubu,nakushauri utubu na uanze kumtolea Mungu na kusimama na kazi yake.
Sadaka Ni Ibada. Kuna Aina Kadhaa Za Sadaka, Sadaka Ya Hiari, Sadaka Ya Shukrani Na Fungu La Kumi/ Zaka. Halafu Kuna Malimbuko. Sadaka Hizi Hutolewa Kwa Imani. Kama Huna Imani Huwezi Kutoa. Utoaji Ni Moyo, Hata Kama Unacho Kidogo Kama Una Moyo Wa Utoaji Na Imani Unatoa Tu. By The Way Utoaji Si Pekee Kwa Makanisa Ya Kiroho Tu Hata Hayo Makanisa Mengine Nayo Waumini Wake Hutoa, Tena Wana Visanduku Vya Kuweka Bahasha Zenye Fedha Na Vina Namba Kabisa. Ni Rahisi Kumtambua Muumini Ambaye Si Mtoaji Na Rekodi Zake Za Utoaji Zaka Zinawekwa. Akipata Shida Itakoyohusu Msaada Wa Kanisa Rekodi Zake Za Utoaji Zitaangaliwa Kwanza Ndiyo Msaada Utolewe Kwa Kiwango Kinachostahili. Kama Si Mtoaji Unaweza Ukasusiwa Shughuli Zako Ufanye Mwenyewe. Utoaji Ndiyo Ushirika Wenyewe. Utoaji Uko Kila Kanisa Mpaka Jumuiya Zake Za Mitaani. Utoaji Ni Imani Kama Huna Imani Ni Ngumu Kutoa. Unaamini Nini Katika Kutoa ? Labda Hoja Ingekuwa Kutoa Ni Fedha Pekee Tu ? Kwa Nini Iwe Fedha Pekee Tu ? Sifa Kuu Ya Mshirika/muumini Ni Utoaji Sadaka.
Alaa...kumbe.!Hata mimi nakubali kanisani sio mahala pa kupunguza stress bali ni mahala pa kuongeza stress
Nilidhani Mimi tu sikumuelewa!Aisee! hapa treni imeingia barabarani.
yaan waislamu nawakubali hapo tu, mhubiri wa kiislamu anaweza toka zanzibar akaenda kigoma kuhubiri akajigharamia mwenyew kila kitu na akarudi zake zenhi kuendelea na shughuli zake za kujenga taifa ila kwa sisi wakristu hakuna hilo mtu hawez fanya lolote kama hakuna michango yaan kila kitu ni pesa, yaan unakuta waumin maskini wanajuhudi kweli ya kutoa mchango hata kula yao ni mtihani ila mchungaji ana mpango wa kununua private jet yaan ni mambo ya ajabu sanaMsikitini hata usipotoa hakuna anaekulaumu
Umetoka nyumbani unaamua kuingia kanisani japo kupunguza stress za ugumu wa maisha na matatizo mbalimbali lakini humo kanisani unakutana na michango isiyoisha tena kwa lazima.
Nijuavyo mimi sadaka ni kile ambacho mtu amejaaliwa kukipata
Sasa eti kuna makanisa mpaka wameweka viwango sadaka isiwe chini ya kiasi flani, bado shukrani, bado fungu la 10, bado sadaka ya utumishi, bado sadaka ya madhabahu, bado sadaka ya malimbuko sijui nini. !
Mbaya zaidi kila mahubiri ni kusisitiza utoaji sadaka na michango tu.
Sio siri makanisa yetu mnakatisha tamaa kabisa ukute mtu ni mama wa nyumbani atapataje pesa yote hiyo kama sio mwanzo wa kugombana na mmewe.
Mungu atusaidie.