Linaloamini Ujazo Wa Roho Mtakatifu Na Ubatizo Wa Kuzamishwa Kwenye Maji MengiKanisa la Kiroho ndo kanisa gani .??
Ndo nyie mnaotukana Wakatoliki kwamba walevi na wanaabudu sanamu, wakati makanisa yenu ya Kiroho hayana hata Zahanati mtaani. Pesa mnazochanga mnapeleka wapi?Umetoka nyumbani unaamua kuingia kanisani japo kupunguza stress za ugumu wa maisha na matatizo mbalimbali lakini humo kanisani unakutana na michango isiyoisha tena kwa lazima.
Nijuavyo mimi sadaka ni kile ambacho mtu amejaaliwa kukipata
Sasa eti kuna makanisa mpaka wameweka viwango sadaka isiwe chini ya kiasi flani, bado shukrani, bado fungu la 10, bado sadaka ya utumishi, bado sadaka ya madhabahu, bado sadaka ya malimbuko sijui nini. !
Mbaya zaidi kila mahubiri ni kusisitiza utoaji sadaka na michango tu.
Sio siri makanisa yetu mnakatisha tamaa kabisa ukute mtu ni mama wa nyumbani atapataje pesa yote hiyo kama sio mwanzo wa kugombana na mmewe.
Mungu atusaidie.
Umetoka nyumbani unaamua kuingia kanisani japo kupunguza stress za ugumu wa maisha na matatizo mbalimbali lakini humo kanisani unakutana na michango isiyoisha tena kwa lazima.
Nijuavyo mimi sadaka ni kile ambacho mtu amejaaliwa kukipata
Sasa eti kuna makanisa mpaka wameweka viwango sadaka isiwe chini ya kiasi flani, bado shukrani, bado fungu la 10, bado sadaka ya utumishi, bado sadaka ya madhabahu, bado sadaka ya malimbuko sijui nini. !
Mbaya zaidi kila mahubiri ni kusisitiza utoaji sadaka na michango tu.
Sio siri makanisa yetu mnakatisha tamaa kabisa ukute mtu ni mama wa nyumbani atapataje pesa yote hiyo kama sio mwanzo wa kugombana na mmewe.
Mungu atusaidie.
Bajaj Zimeandikwa Kwa Nyuma Huu Msemo Umepokelewa Kwa Hisia TofautiKanisa la Kiroho ndo kanisa gani .??
Hata mimi nakubali kanisani sio mahala pa kupunguza stress bali ni mahala pa kuongeza stressKanisani sio sehemu ya kupunguzia stress zako, kanisa ni nyumba ya ibada ya kusifu na kuabudu, kanisa ni nyumba ya sala.
"Nitawaleta hao nao hata mlima wangu mtakatifu na kuwafurahisha katika nyumba yangu ya sala, makafara yao na dhabihu zao zitakubaliwa juu ya madhabahu zangu, kwa maana nyumba yangu itaitwa NYUMBA YA SALA kwa mataifa yote". Isaya 56:07
Sadaka ni sehemu ya ibada, na si sehemu tu ni sehemu kubwa sana ya ibada. Sadaka ni sehemu kubwa ya imani na ndiyo maana tunaambiwa tutoe kwa imani, yaani kutoa vile moyo wako unakutuma kutoa. Sadaka zina mgawanyiko wake ndiyo kama hizo kuna ya fungu la kumi, kuna ya shukrani, kuna ya madhabahu n.k
Kama unaona ukitoa unapoteza au unawanufaisha wachungaji na familia zao ni heri usitoe kabisa!
Ila mi nadhani kuna Ufahamu mdogo sana wa waumini kuhusu sadaka. Na hapa ndipo hawa wachungaji wanatumia nafasi kupiga kila siku na kuleta mpya kila dei.
Maana wao wamesoma kile kitabu miaka 5 wanajua ipi inahitajika ipi haihitajiki kwa miaka ya sasa lakini hawatkwambia kamwe....Na utawapelekea mpaka mwisho wa dahari.
Maana waumini wenyewe kitabu hatusomi tunasubiri Mchungaji akwambirle fungua mathayo 8. Sasa kwanini msiletewe sadaka mpya kila siku.
Hayo makanisa ni miradi ya watu inayowaingizia pesa mingi sana... Ukiachana huo mlolongo wa sadaka hakuna Huduma inatolewa bureUmetoka nyumbani unaamua kuingia kanisani japo kupunguza stress za ugumu wa maisha na matatizo mbalimbali lakini humo kanisani unakutana na michango isiyoisha tena kwa lazima.
Nijuavyo mimi sadaka ni kile ambacho mtu amejaaliwa kukipata
Sasa eti kuna makanisa mpaka wameweka viwango sadaka isiwe chini ya kiasi flani, bado shukrani, bado fungu la 10, bado sadaka ya utumishi, bado sadaka ya madhabahu, bado sadaka ya malimbuko sijui nini. !
Mbaya zaidi kila mahubiri ni kusisitiza utoaji sadaka na michango tu.
Sio siri makanisa yetu mnakatisha tamaa kabisa ukute mtu ni mama wa nyumbani atapataje pesa yote hiyo kama sio mwanzo wa kugombana na mmewe.
Mungu atusaidie.
Upuuzi wa kiwango cha lami...Linaloamini Ujazo Wa Roho Mtakatifu Na Ubatizo Wa Kuzamishwa Kwenye Maji Mengi
Nenda kasali mahali ambapo moyo wako unakuwa na amani...Kulalamika huko inaonesha ulipo si mahala sahihi au tatizo ni wewe mwenyewe!Umetoka nyumbani unaamua kuingia kanisani japo kupunguza stress za ugumu wa maisha na matatizo mbalimbali lakini humo kanisani unakutana na michango isiyoisha tena kwa lazima.
Nijuavyo mimi sadaka ni kile ambacho mtu amejaaliwa kukipata
Sasa eti kuna makanisa mpaka wameweka viwango sadaka isiwe chini ya kiasi flani, bado shukrani, bado fungu la 10, bado sadaka ya utumishi, bado sadaka ya madhabahu, bado sadaka ya malimbuko sijui nini. !
Mbaya zaidi kila mahubiri ni kusisitiza utoaji sadaka na michango tu.
Sio siri makanisa yetu mnakatisha tamaa kabisa ukute mtu ni mama wa nyumbani atapataje pesa yote hiyo kama sio mwanzo wa kugombana na mmewe.
Mungu atusaidie.
Ndio maana kanisa Bora Na sahihi miaka yote litabaki kuwa kanisa la wasabato tu
Ujazo gani...??? Au unaongelea kujazwa na roho mtaka fujo na kuanza kuongekea lugha kama vichaaa...???Linaloamini Ujazo Wa Roho Mtakatifu
Unajua maana ya ubatizo wewe...???Na Ubatizo Wa Kuzamishwa Kwenye Maji Mengi
Aisee! hapa treni imeingia barabarani.Ushawishi Gani ? Wa Kisiasa? Hao Watoa Tuzo Hawaoni Wanawake Wa Tz Wenye Ushawishi Mkubwa Katika Nyanja Zingine Za Kimaisha ?
Wengine wanatutambia kwamba magari yao si mitumba ya kutoka Japan, bali ni mapya kabisa toka USA na Germany. Ole wao, Mungu anawaona.Unakuta mchungaji ana miradi mikubwa kabisa na ana magari ya kutembelea yenye bei mbaya huku analazimisha hizo michango kumkamua masikini ambaye hata uhakika wa mlo wake kwa siku ni mashaka