mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 7,743
- 6,273
Mimi ndiyo maana nilimuacha demu wangu kwa ajili ya ujinga huu. Alikuwa ananilazimisha kwenda kanisani kila Jumapili ukweli ni kwamba mimi na hizi dini za kuletewa na maboti tuko tofauti kabisa, watu wanasali na kuomba mimi najiuliza kuna faida gani watu wanapata kwenda kwenye majumba ya ibada. Ukileta na upuuzi wa mchango wa kuwachangia wachungaji hapo ndipo unanikimbiza kabisa kanisani. Yaani mtu ana akili zake timamu eti anakubali kuwa mtumwa wa manabii fake dizaini ya kina TB Joshua, hamnipati tena ng'oo.