Matunda ya katiba mpyaa hayoo..Makamu Rais wa Kenya William Ruto amezuiliwa kusafiri kwenda Uganda kwa ziara binafsi
Ruto na ujumbe wake ulizuiliwa katika uwanja wa ndege Wilson Airport leo. Haijulikani mpaka sasa sababu ya kuzuuliwa kwake.
kulitokea nini 2013?2022 Kenya inaweza kupitia yale yale ya uchaguzi wa 2013
Aisee,kuna mjumbe fukani kala marisasi kumi na sita.Juzi juzi tuu ole sabaya kamriwa kukushuma. Maana yake nini?Makamu Rais wa Kenya William Ruto amezuiliwa kusafiri kwenda Uganda kwa ziara binafsi
Ruto na ujumbe wake ulizuiliwa katika uwanja wa ndege Wilson Airport leo. Haijulikani mpaka sasa sababu ya kuzuuliwa kwake.
mawazo ya kifukara kabisa haya.Matunda ya katiba mpyaa hayoo..
Hongera zao kwa kupata katiba bouraaaa
Yupo benki.MK254 u Khali gani bro?
Alo,mambo simazuri tokyo, inch ya phillipino kwa mara ya kwanza in 50 years wame shinda ze goldi.Ruto ni rais ajaye wa RoK.
Sisi wakenya pia twajiuliza hilo swali, lakini gumzo mtaani ni kwamba ruto alikuwa anapanga njama ya kumimpeach rais kupitia bunge kwa sababu katika chama cha jubilee kunavibaraka wengi wa ruto humo ndani.Hivi Ruto & Uhuru walikosana nini hizi siku za karibuni,mbona the Hague walienda wote sasa kwa nini wanataka kuachiana njiani kiasi hiki ama sababu za hii mambo ya BBI
M7 doesn't get along with ODM (Raila Ondinga) mwaka jana alimshutumu kuwa Raila anajidai kuwe kingmaker wa East Africa ..M7 support is the fountain of all, pande ya Raila kwa M7 ni zero kbsa.
Kenya hakuna Makamu wa Rais..kuna Naibu wa Rais.Makamu Rais wa Kenya William Ruto amezuiliwa kusafiri kwenda Uganda kwa ziara binafsi
Ruto na ujumbe wake ulizuiliwa katika uwanja wa ndege Wilson Airport leo. Haijulikani mpaka sasa sababu ya kuzuuliwa kwake.