Waambie watoe hayo maua yaliyokauka na badala yake wapande bustan nzuuuri ya eden maana huko alipo yupo peponi.pia waambie watoe hayo mabat wajenge ukuta harakaharaka kama walivyokua wanajenga vile vibanda vya watu kukaa wakat ziara ya mwili wake. Waambie waache uvivu mwenyewe alikua akisisitiza watu wachape kazi usiku na mchana! Kama ni pesa za kujengea ukuta ndiyo hamna wambie warudishe benz la mzee mwinyi wapate hela ya kujengea kaburi. Kama imeshindikana waambie wasionyeshe picha za kaburi la mzee wasukuma tunaumia