Patriot
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 5,749
- 4,858
Flight kuchelewa ni kawaida. sema sababu ni nini? Usiunde ya kwako. Uliambiwa sababu ni nini?Waliambiwa watapandia arusha. Baadae wakaambiwa kia. Kufika huko wakakaa masaa 3 kusubiri bodi member wa NSSF. Ila hakuweka ushahidi wa hata siku ya safari yake so alidanganya
Labda kulikuwa na stream jet wind!