Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,217
Kwanini tusiwe na ndege?Watanzania wenye kuweza onyesha mafanikio ya hilo shirika wapo. Ila shida akiwa wa kaskazini ni shida, bora ku-pack, mwisho wataleta wazungu. wataanza lazimisha kwamba watz hawawezi, TBC nayo watasema hivyo hivyo ila wanaoendesha ITV, PRECISIONAIR ni watanzania. Siku watanzania watakiri huu upuuzi unaofichwa ktk usawa ndio wataachia mashirika yang`ae na kanza tawala ukanda huu. Wengine wakiona mkaskazini kashika shirika likapata mafanikio na akachagua timu yake ya mafanikio, wanaanza zengwe kuna hela wamepeana kikabila/kikanda . wakiingia wao hela zinapotea. hakuna wa kujiuliza wala kujua kwamba alieyekuwepo na hela zikaja ndie aliyezitafuta.Ndugu zanguni ndege hazitaki mchezo...
Ni afadhali tusiwepo na shirika la aina hiyo kuliko yatokee kama ya ADAM AIR.
Ni busara watu wa NTSB waanze kufanya pre investigation ...kabla ya jambo litarajiwalo...Mungu aepushie mbali.