Upo sahihi mkuu.. Nadhani waziri ataupata ujumbe huuLeo ameiwakia, kesho ataizimikia hamna chochote kitakachobadilika kama wasipofanya mabadiliko kwenye mfumo mzima wa utendaji kazi, ni bora waziri akae na wakurugenzi kuunda mfumo utakaodhibiti upigaji hela kuliko kutoa tu tamko la kuwaasa waache kupiga hela au kubadilisha safu.
Hii ni karne ya 21 unaweza kufanya automation ya full business process ya industry yoyote na kuwa na full transparency ya transaction zinazofanywa na kuweza kumfanya mtu kuwa accountable kwa jambo lolote atakalofanya wakati huo huo (realtime).
Angalia kampuni kubwa za nje wanavyofanya management zao si rahisi kupiga hela ukapona hivi hivi lazima utajulikana lazima utashughulikiwa ipasavyo.
True that..Kwa wenye kampuni za utalii huwezi kupanga ratiba za wageni kwa kuitegemea atl maana hakuna siku utakuwa na uhakika wa safari. Kila dakika kuahirisha safari. Wageni wanakosa flight za kurudi kwao. Inakuwa hasara ya kampuni yenye wageni.
hahahahahaNi za kwenda kuzikia..
Tatizo una Invest a lot of money Kwenye taasisi ambayo hujaiandaa kuleta Value for Money..Simply amazing
From the beginning unaona kabisa sababu za investment sio sahihi, research sio sahihi, matumizi hayana justification, business model aijulikani, operation model aijulikani, management tia maji tia maji.
Halafu utegemee mafanikio, wakati sababu za kununua ndege ni makelele ya JF kisa Rwanda air.
Yaani acha tu.. Wameshindwa hata kumlipa millard ayo Buku kumi aweke hata kabango Kwenye ule ubao wake wa umbeya?Tangu nizione kwenye sherehe ya kukaribishwa nchi sijaona wala kusikia tangazo sio kwenye radio wala Television. Yaani pamoja na upya wake matangazo ya hizo ndege hamna [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nani atapanda ndege zinazotishia wateja? Soon wataanza kuwatumbua mpaka wateja waoKuna mtu alileta uzi alisema hatapanda tena hizo ndege, Akisema waliambiwa ndege haiwez kutua arusha so wajigharamie gharama zao kwenda KIA alaf kufika kia wakawekwa 3hours kusibir crappy board members...
Kifupi hizi ndege hazina mwisho mzuri.....
lazima mchwa watimuliwe kwenye management. ceo mpya asiwe mwoga akiwaamini tu hao wapiga dili amekwisha. kwanza wengi ni wazee wamechoka wanachoweza tu kuiba hela ndefu. hawana uchungu na nchi uzalendo wala weledi.Amuagiza Mkurugenzi kubadilisha safu yake mara moja.
Aonya watu waache upigaji wawe waadilifu.
Marketing Department yakosolewa. Awataka ambao hawawezi kuendana na kasi inayotakiwa wakae pembeni.
Asema wafanyakazi wa serikali watumie ATCL kusafiri Posta na TTCL zijiandae.
My take..
Kwakweli Marketing Department ya ATCL ni mbovu sana, namuunga mkono. Nenda twitter account yao au hata website yao. Dah! Inasikitisha.
----------------------------------------------------------
Zanzibar ASP Ameongezea maoni yake hapo chini...
Tatizo la ATCL ni kubwa sana kuliko vile watu wanavyodhania.Ni shirika lililoanzishwa kisiasa, Linafanya kazi kisiasa, Lilikufa kisiasa na sasa linafufuliwa kisiasa. Siasa na Biashara ni kama Maji na Mafuta, huwa haviendani kabisa.Yaani, Waziri Mzima anasema, uwekwe utaratibu ili wafanyakazi wa serikali wanaposafiri kwa Ndege basi Walazimishwe kupanda ndege za ATCL pekee!! Sijui kama waziri anajua athari za kauli yake kwa makampuni mengine ya ndege, Ubora wa Huduma za ATCL, Wajibu wa mfanyakazi wa serikali nk.Sijawahi kuona siasa ikifanikisha biashara.Ni suala la muda tu, ATCL itakufa tena, na tutaendelea kumsaka mchawi milele.... Anayeiloga ATCL ni serikali yenyewe.
Chanzo: TBC 1
Si wakukurupuka hashsuriki wache imfie mikononi mwake ndio atatulia.dah mi hiyo pesa ya ndege wangeipeleka kwa reli naona tungepata faida mara dufu tofaut na hy ndege maana hatuna hata kipato cha kupanda hzo ndege bali tungewachia sekta binafsi kujihusisha huko tu..sisi mwend wa kodi tuu
Huez amini ila walikua huku. Uskute hadi ngalimi walienda!Ngarenaro?? Mhhhh
Amuagiza Mkurugenzi kubadilisha safu yake mara moja.
---------------------------------------------------------
Zanzibar ASP Ameongezea maoni yake hapo chini...
Tatizo la ATCL ni kubwa sana kuliko vile watu wanavyodhania.Ni shirika lililoanzishwa kisiasa, Linafanya kazi kisiasa, Lilikufa kisiasa na sasa linafufuliwa kisiasa. Siasa na Biashara ni kama Maji na Mafuta, huwa haviendani kabisa.Yaani, Waziri Mzima anasema, uwekwe utaratibu ili wafanyakazi wa serikali wanaposafiri kwa Ndege basi Walazimishwe kupanda ndege za ATCL pekee!! Sijui kama waziri anajua athari za kauli yake kwa makampuni mengine ya ndege, Ubora wa Huduma za ATCL, Wajibu wa mfanyakazi wa serikali nk.Sijawahi kuona siasa ikifanikisha biashara.Ni suala la muda tu, ATCL itakufa tena, na tutaendelea kumsaka mchawi milele.... Anayeiloga ATCL ni serikali yenyewe.
Chanzo: TBC 1
Arusha walikua wanapita na hiace wanatangaza maeneo ya ngarenaro kuhimiza watu wapande hayo madege kipindi yameingia. Pathetic. Ngarnaa??
Kivipi mkui wakati Rwandair hawajawah kupata faida wanaishi kwa ruzuku? Kenya airways mwaka wa ngapi sasa hasara tu.RwandaAir na Kenya Airways ni habari ingine kabisa
Kwa mwanasiasa wakati mwingine ni sahihi. Si unakumbuka tulivyopigwa changa na huyo jamaa aliyeondoka kwa kudanganya eti akaunti za wahujumu zimeshikiliwa? baadaye zikaja hadithi za pesa za EPA na Radar kurudishwa?Kazi si wameanza juzi tu baada ya kujipatia Bombadier.
Hivi utamaduni wa kukosoana barabarani unatija kweli zaidi ya kujitafutia kiki ya bei poa?