Makame Mbarawa aiwakia ATCL

Makame Mbarawa aiwakia ATCL

Mungu mwema. Hivi nisaidiwe, hawa wenzetu wanazingatia kweli Sheria ya Manunuzi ya Umma (PPA 2011) na kanuni zake (PPR 2013) walizotunga wenyewe pale Bungeni? Au wanatoa tu matamko kuwa watumishi wote wa umma wapande ndege za ATCL?
 
Tatizo la atcl kama huna ujuzi kwenye airline industry uwezi and kujuwa Walsh and kuliongelea watu wengi wanaongea kisiasa , kiutendaji serikali inatakiwa kuhakikisha shirika hilo hilo linasaidiwa kwa mambo mengi sana,
1,serikali lazma lianzishe handling company kunusuru matumizi ya kulipia handling Au kuhudumia abiria Na mizigo kwa mfano ndege ikituwa mwanza kwa trip wanalipia zaidi ya laki nne je ikituwa viwanja vitatu watalipa kiasi gabi,
2, nasema siasa maana airline ni Industry kama unavoona madaktari sasa kuchukuwa watu ambao sio wajuzib bila ya elimu ya airline au uzoefu ni kuliuwa shirika shule muhimu sana
Hapa kwetu baada ya kuliuza shirika hilo mpaka eliminates the ya mambo ya airline yalikufa leo hata kufanya loadsheet unahitaji and kwenda kusomea nje ya nchi
Hivo msione ndege zinaruka zina mambo mengi sana
Hakuna kudharau kuna watu wanaona Ni biashara rahisi sana
 
Mama mwenyewe kavaa Shungi ni dalili Tosha kuwa Marketing haipo kichwani... Kwanza anavoongea tu inaonekana hajui anachofanya!
 
Mama mwenyewe kavaa Shungi ni dalili Tosha kuwa Marketing haipo kichwani... Kwanza anavoongea tu inaonekana hajui anachofanya!
Kama mama ana mizizi mizito Serikalini ,yaweza kuwa tatizo.Na mkurugenzi ikabidii amezee
 
Si 7bu yangu. Waliambiwa uwanja hautoshi. Nchi haiishi vituko hii. Wenzio kina barafu waliotetea hizi ndege huwaoni kwenye hizi nyuzi sku hizi. Nawewe ni muda tu utachoshwa. Muulize Rweye jinsi haamini kilichotokea ishu za maafa huko Kagera.

We sasa hv usitetee hawa jamaa safu yao haionani.
Unajua kuna watu kama wamepatwa na Wazimu baada ya Mtukufu kutangazwa Mshindi Mwanzo walikuwa wengi kutetea kila kitu lkn siku zinavyokwenda wanazidi kupungua mwisho wa siku wataishia kuwa wageni wasomaji watakuwa wanachungulia NYUZI wanazikimbia
 
Mkurugenzi ana PHD ya kufuga nyuki anapewa aendeshe shirika la ndege unategemea nini?
[emoji1] [emoji1] mtukufu amesema hajaribiwi Labda kama unazo 7ml zisizokuwa na kazi vinginevyo JELA itakuhusu kwa UCHOCHEZI
 
Mungu mwema. Hivi nisaidiwe, hawa wenzetu wanazingatia kweli Sheria ya Manunuzi ya Umma (PPA 2011) na kanuni zake (PPR 2013) walizotunga wenyewe pale Bungeni? Au wanatoa tu matamko kuwa watumishi wote wa umma wapande ndege za ATCL?
Chini ya mtukufu kuna sheria inafuatwa?
 
Marketing department ifanyiwe kazi ikiwezekana ifumuliwe,kusiwepo na ufanyaji wa kazi kwa mazoea.
 
Nipeni kazi ya kuitangaza Atcl au customer care supervisor nitawasaidia ATCL wakae vzr kwenye hizo angle
 
Kwa Nini wafanyakazi wabovu wasipigwe Risasi wakafa tu? kila siku huu wimbo wa ATCL nausikia tu..! huko kuna mdudu gani asiyesikia dawa?
 
Sasa utaipate wakati watu wanazeekea hapo...
Ukiwawekea system vizuri hao wabovu eitha watabadilika ama kuondoka na kutuachia sisi wenye maujuzi, labda itokee figisu figisu hapo watakuwa wamejizika wenyewe!
 
Leo ameiwakia, kesho ataizimikia hamna chochote kitakachobadilika kama wasipofanya mabadiliko kwenye mfumo mzima wa utendaji kazi, ni bora waziri akae na wakurugenzi kuunda mfumo utakaodhibiti upigaji hela kuliko kutoa tu tamko la kuwaasa waache kupiga hela au kubadilisha safu.

Hii ni karne ya 21 unaweza kufanya automation ya full business process ya industry yoyote na kuwa na full transparency ya transaction zinazofanywa na kuweza kumfanya mtu kuwa accountable kwa jambo lolote atakalofanya wakati huo huo (realtime).

Angalia kampuni kubwa za nje wanavyofanya management zao si rahisi kupiga hela ukapona hivi hivi lazima utajulikana lazima utashughulikiwa ipasavyo.
Sure, umejibu kibihashara zaidi. Tatizo aliyesomea "kilimo cha mboga mboga" ndio huyo asimamie uzaaji wa "samaki"
 
Mwanzo mgumu, ATCL irekebishe hizo kasoro na itoe huduma za kisasa zaidi na kwa haraka ,wajitahidi kwenda muda wasiwaweke abiria sehemu kwa muda mrefu, Tanzanis tunahitaji shirika la ndege kwa gharama yeyote, hatutaweza kufika kama tutakuwa tunaanzisha kitu maramoja, tunakumbana na challenges tunakimbia ,au tunalalamika, we need to face the challenges not to run from the challenges. Tunahitaji ndege nyingi zaidi ziingie ,kwa nini tuogope bhana kuendesha shirika la ndege just running kuna ugumu gani,nchi zingine zimeweza kwa nini Tanzania mshindwe?
 
TTCL ndio kabisaaa! Wameshindwa kufika miji muhimu Kama Mwanza, Arusha, nk. Dar es salaam penyewe Kimara hawafiki.
 
Back
Top Bottom