Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,695
- 1,696
Akinukuliwa na Clouds FM radio na Channel 10 naye amesema:
- CHADEMA Hawajatumia lugha ya kistaarabu kwa mgombea wao
- Adai hawawezi kukaa kimya Mwenyekiti wao na Rais akitukanwa
- Adai wote walisaini makubaliano ya kutumia lugha ya kiuungwana, iweje sasa wanakiuka
- Aitaka tume ya Uchaguzi ichukue hatua isisubiri ipelekewe malalamiko
- Adai JK ni kama baba, huwezi vumilia ukiona baba yako anatukanwa