Tindo
Platinum Member
- Sep 28, 2011
- 69,561
- 123,024
Yani Chuma aache kujenga mareli na madaraja aende kupambana na wakoswa akili wwnaokimbia juani eti kutafuta ukombozi ?! Chuma sio boya yeye alikuwa anatoa kauli ukileta ukamanda unapumua pumzi ya moto
Madaraja na reli ziko ulaya boss, reli bongo?



