Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 7,174
- 8,634
Unajiabisha kukiri hadharani kuwa chaguzi za Chadema huwa mnahongana. Aibu kubwa ndugu yangu.Mvuto hana, ila hela za kuhonga wajumbe huko kanda ya kati alikuwa nazo. Fuatilia alipokuwa anataka kupata sign za kumdhamini agombee urais kwa tiketi ya cdm alikutana na nini.


