Makamanda mbona hamsomeki?

Makamanda mbona hamsomeki?

Ni kitambo kidogo sijalonga na hawa washikaji zangu ‘makamanda’.

Lakini leo nadhani ni siku muafaka ya kulonga nao.

Sasa nyie makamanda, tokea Rais Samia ameshika hatamu za uongozi, nyie ndo mmekuwa mstari wa mbele kabisa kuimba mapambio kwake.

Mmekuwa na furaha isiyo na kifani! Furaha yenu hiyo inatokana na imani yenu ya kwamba yale mazonge mliyokuwa nayo enzi za hayati Rais Magufuli, sasa yamekwisha.

Kwamba eti yeye alikuwa mkali sana. Yeye alikuwa katili sana. Yeye alikuwa mshamba sana. Yeye alikuwa fisadi sana. Yeye alikuwa hivi na vile sana.

Sawa. Hayo ni maoni yenu tu. Na maoni yenu si lazima yawe ndo uhalisia wa hali au mambo.

Leo ngoja niwaulize swali: kama nyinyi sasa hivi ndo mmekuwa viongozi wa kuimba mapambio ya Rais Samia na CCM yake, kwa nini sasa leo mmenuna, mmevimba, na mmefura kisa tu ex-kamanda mwenzenu aitwaye Lazaro Samweli Nyalandu karudi CCM ili aweze kuunga mkono uendeleaji wa kazi za Rais Samia?

Kama nyie mnamuunga mkono Rais Samia, na yeye anamuunga mkono Rais Samia, wote nyie lenu si ni moja?

Mapovu ya nini sasa?

Ndo kusema hamjielewi kiasi hicho au?

Nimalizie kwa kuwaaga kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…..

Au niwaage kwa People’s……

Teh teh teh 🤣🤣🤣
HAHAHA KESHO WATAAMKA NA MATUSI KWA MAMA WA TAIFA. KAWAPIGA UTOSINI, HUYO NDIYO MAMA BHANA ANAPIGA MIGUU YOTE, KAWAAHIDI WENGI WANAKUJA. NITACHEKAJE MIE, NDIYO MAANA NAIPENDA CCM SABABU INAJUA KUCHUKUA USHINDI KWA WAKATI MUAFAKA. KARIBUNI KWA MAZUNGUMZO YA MUAFAKA WA SIASA SOON, MUALIKO UTAPELEKWA KWA SHIBUDA HALAFU SHIBUDA ATAWAALIKA NYIE.
CCM JABARI LA SIASA AFRIKA. MKITAKA KATIBA MPYA TUTAWAALIKA KWENYE MCHAKATO
 
HAHAHA KESHO WATAAMKA NA MATUSI KWA MAMA WA TAIFA. KAWAPIGA UTOSINI, HUYO NDIYO MAMA BHANA ANAPIGA MIGUU YOTE, KAWAAHIDI WENGI WANAKUJA. NITACHEKAJE MIE, NDIYO MAANA NAIPENDA CCM SABABU INAJUA KUCHUKUA USHINDI KWA WAKATI MUAFAKA. KARIBUNI KWA MAZUNGUMZO YA MUAFAKA WA SIASA SOON, MUALIKO UTAPELEKWA KWA SHIBUDA HALAFU SHIBUDA ATAWAALIKA NYIE.
CCM JABARI LA SIASA AFRIKA. MKITAKA KATIBA MPYA TUTAWAALIKA KWENYE MCHAKATO
Hivi makamanda walifikiri mama ataanza kuimba people's au?
 
chadema kwisha habari yao viongozi wamekimbia nchi waliobaki wanabaki kubweka tu na kina mdee hawana kazi za kufanya badala ya kuimarisha chama wao kazi ni kina mdee kila siku uchaguzi ukifika mtasema mmeibiwa kura wakati hamzitafuti sasahivi
Mku kutafuta kura bado sana kwani uchaguzi ni lini?
 
Ni kitambo kidogo sijalonga na hawa washikaji zangu ‘makamanda’.

Lakini leo nadhani ni siku muafaka ya kulonga nao.

Sasa nyie makamanda, tokea Rais Samia ameshika hatamu za uongozi, nyie ndo mmekuwa mstari wa mbele kabisa kuimba mapambio kwake.

Mmekuwa na furaha isiyo na kifani! Furaha yenu hiyo inatokana na imani yenu ya kwamba yale mazonge mliyokuwa nayo enzi za hayati Rais Magufuli, sasa yamekwisha.

Kwamba eti yeye alikuwa mkali sana. Yeye alikuwa katili sana. Yeye alikuwa mshamba sana. Yeye alikuwa fisadi sana. Yeye alikuwa hivi na vile sana.

Sawa. Hayo ni maoni yenu tu. Na maoni yenu si lazima yawe ndo uhalisia wa hali au mambo.

Leo ngoja niwaulize swali: kama nyinyi sasa hivi ndo mmekuwa viongozi wa kuimba mapambio ya Rais Samia na CCM yake, kwa nini sasa leo mmenuna, mmevimba, na mmefura kisa tu ex-kamanda mwenzenu aitwaye Lazaro Samweli Nyalandu karudi CCM ili aweze kuunga mkono uendeleaji wa kazi za Rais Samia?

Kama nyie mnamuunga mkono Rais Samia, na yeye anamuunga mkono Rais Samia, wote nyie lenu si ni moja?

Mapovu ya nini sasa?

Ndo kusema hamjielewi kiasi hicho au?

Nimalizie kwa kuwaaga kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…..

Au niwaage kwa People’s……

Teh teh teh 🤣🤣🤣
CHADEMA LEO KIPIGO HIKI NI SAWA NA AC ROMA KWA MANCHESTER UNITED. TUNAWAONYA MSIJE NA MATUSI YENU HIYO NDIYO CCM HUWA INAADHIBU VIBAYAAAA
 
Upinzani wanaicheza ngoma ya mama
Means hawana hoja sasa wahamie wote ccm rasmi.
Peoples wanajaribu kuimba tu maana hawana uhakika yakesho itakuwaje huenda mama yetu akaruhusu mandamano. Hapo ndo tunasubiria jibu litakuwaje.
 
Hahaaaa safi!

Wote makamanda a Nyalandu wanaunga mkono kazi za mama!

Sasa kwa nini wanune kisa tu Nyalandu karudi CCM?

Post zetu ziko humu humu jukwaani na hatukuwa tunamfagilia, huyo Nyalandu hakuwa na mvuto wowote ndani ya cdm. Na hakuna yoyote aliyenuna kwa Nyalandu kurudi ccm bali watu wanamwita mpigania tumbo tu. Ushahidi kuwa Nyalandu hakuwa na mvuto huko cdm, ni zile safari zake alizozunguka nchi nzima kutafuta watu wa kumuunga mkono ili kugombea urais kupitia cdm, ukiacha watu aliokuwa anazunguka nao kwenye lile basi lake chakavu, hakuwa na mvuto hata chembe.
 
Post zetu ziko humu humu jukwaani na hatukuwa tunamfagilia, huyo Nyalandu hakuwa na mvuto wowote ndani ya cdm. Na hakuna yoyote aliyenuna kwa Nyalandu kurudi ccm bali watu wanamwita mpigania tumbo tu. Ushahidi kuwa Nyalandu hakuwa na mvuto huko cdm, ni zile safari zake alizozunguka nchi nzima kutafuta watu wa kumuunga mkono ili kugombea urais kupitia cdm, ukiacha watu aliokuwa anazunguka nao kwenye lile basi lake chakavu, hakuwa na mvuto hata chembe.
Chausiku nakuona unavyodemka 🤣

 
Siasa inahitaji misingi iliyokomaa na ajenda zenye mantiki zinazopatana uhalisia wa mazingira ya nyakati husika na zijazo.....unapotoka nje ya misingi hiyo ya kisiasa.....unageuka kuwa mwanasiasa bendera kuelekea upepo unapovuma........

NB;
MWANASIASA MAHIRI ANAONGOZWA NA AJENDA NA SIO MATUKIO....
 
Mambo ni mengi mda hautoshi , tunaendelea kuisubiria Tanzania isiyopatikana ,unastukia mara paap huyoo Kaburini, unashuka na matumaini yako hewa
 
Post zetu ziko humu humu jukwaani na hatukuwa tunamfagilia, huyo Nyalandu hakuwa na mvuto wowote ndani ya cdm. Na hakuna yoyote aliyenuna kwa Nyalandu kurudi ccm bali watu wanamwita mpigania tumbo tu. Ushahidi kuwa Nyalandu hakuwa na mvuto huko cdm, ni zile safari zake alizozunguka nchi nzima kutafuta watu wa kumuunga mkono ili kugombea urais kupitia cdm, ukiacha watu aliokuwa anazunguka nao kwenye lile basi lake chakavu, hakuwa na mvuto hata chembe.
Vipi Nyarandu atakuwa kanunuliwa ee?
 
Back
Top Bottom