Mtambachuo
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 2,455
- 4,495
Ukiachana na Wamasai ambao wapo Kenya na Tanzania.
Wachagga ndio Kabila pekee ambalo lipo Tanzania tu lilotokea kwenye hii list.
Cha kushangaza Wachagga sio wanaongoza kwa idadi ya watu hapa Tanzania kama ilivyo kwa nchi nyingine nyingi ambazo makabila yaliyotokea ndio yanaongoza kwa wingi wa watu kwenye nchi zao mfano kwa Wakikuyu.
Sababu ni nini Wakuu?
Kumbe ni kweli wahenga walivyosema wingi sio hoja.
Wachagga ndio Kabila pekee ambalo lipo Tanzania tu lilotokea kwenye hii list.
Cha kushangaza Wachagga sio wanaongoza kwa idadi ya watu hapa Tanzania kama ilivyo kwa nchi nyingine nyingi ambazo makabila yaliyotokea ndio yanaongoza kwa wingi wa watu kwenye nchi zao mfano kwa Wakikuyu.
Sababu ni nini Wakuu?
Kumbe ni kweli wahenga walivyosema wingi sio hoja.