Supapawa
JF-Expert Member
- Aug 29, 2026
- 560
- 1,391
Kwa sababu tuna ujasiri wa kutembea uchi. Yaani hatuwazi kabisa.Kwa sababu gani mkuu au kwa sababu wanaishi porini na wana lugha yao pekee 😂
Kwa sababu tuna ujasiri wa kutembea uchi. Yaani hatuwazi kabisa.Kwa sababu gani mkuu au kwa sababu wanaishi porini na wana lugha yao pekee 😂
Wazee wa kujipakulia minyama ,
Na wanastahili minyama kiasi chake
😁,Kwishaaaa😁
In terms of economic, educational, and cultural impact: The Chagga are frequently listed among the most prominent, successful, and influential ethnic groups across the entire African continent. Their advanced indigenous agricultural systems, early adoption of formal education, and massive success in the global coffee trade have made them highly studied and respected far beyond East Africa
Ongeza Wachina. Huko Ghana 🇬🇭 Mchina katawazwa kuwa Chief wa kabilaUkiachana na Wamasai ambao wapo Kenya na Tanzania.
Wachagga ndio Kabila pekee ambalo lipo Tanzania tu lilotokea kwenye hii list.
Cha kushangaza Wachagga sio wanaongoza kwa idadi ya watu hapa Tanzania kama ilivyo kwa nchi nyingine nyingi ambazo makabila yaliyotokea ndio yanaongoza kwa wingi wa watu kwenye nchi zao mfano kwa Wakikuyu.
Sababu ni nini Wakuu?
Kumbe ni kweli wahenga walivyosema wingi sio hoja.
Bwashee hayo ya pombe ndio chanzo cha uchakarikaji , pombe ndio inafanya akili izibuke uchakarike asee😁,
Pokya lwekee wadu, lwenigyo mbeke kinnyo ,
Bibi anakuambia onja kidogo mume wangu, Age unaanza chekechea/kindergarten Ushaivaaaa , ukitumiwa kununua unapiga nusu Chibuku kwanza ,
Hapa zinazungumzwa utamaduni wa kazi, Nidhamu etc , haya ni ya siku nyingine
I do deserve it , I'mYou have pin pointed it sir. They well deserved.
Kwa sababu tuna ujasiri wa kutembea uchi. Yaani hatuwazi kabisa.
Kwa sababu tuna ujasiri wa kutembea uchi. Yaani hatuwazi kabisa.
Bibi alikuwa anasema siyo pombe ni shoonga/chakula ,Bwashee hayo ya pombe ndio chanzo cha uchakarikaji , pombe ndio inafanya akili izibuke uchakarike asee
😁,
Pokya lwekee wadu, lwenigyo mbeke kinnyo ,
Bibi anakuambia onja kidogo mume wangu, Age unaanza chekechea/kindergarten Ushaivaaaa , ukitumiwa kununua unapiga nusu Chibuku kwanza ,
Hapa zinazungumzwa utamaduni wa kazi, Nidhamu etc , haya ni ya siku nyingine
Igbo kikuyu na chagga ni makabila yenye mahusiano makubwa ya ki geneticsHapo mnastahili kuongezwa kwenye list mkuu 😀
I do deserve it , I'm
Proudly Chagga,
Title Kubwa Yenye realistic expectations kibao juu yake ,
Kazi tunayo kama Gen Z na millennials kufanya Yaliyo bora zaidi kushinda our Predecessors.
Mlima Kilimanjaro ndo umewapeperushaUkiachana na Wamasai ambao wapo Kenya na Tanzania.
Wachagga ndio Kabila pekee ambalo lipo Tanzania tu lilotokea kwenye hii list.
Cha kushangaza Wachagga sio wanaongoza kwa idadi ya watu hapa Tanzania kama ilivyo kwa nchi nyingine nyingi ambazo makabila yaliyotokea ndio yanaongoza kwa wingi wa watu kwenye nchi zao mfano kwa Wakikuyu.
Sababu ni nini Wakuu?
Kumbe ni kweli wahenga walivyosema wingi sio hoja.
Nikifika mtoni nakunywa kama nusu Chibuku , Naongezea maji 😂😂😂😂,Umetoka za shule unatumwa na kidumu cha lita tano sio 🤣
Sio kweliMlima Kilimanjaro ndo umewapeperusha
Ni mtazamo wangu tu BwasheeSio kweli
Igbo kikuyu na chagga ni makabila yenye mahusiano makubwa ya ki genetics