Mtambachuo
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 2,462
- 4,508
- Thread starter
- #61
Sio kweli
Sio kweli hata kidogo. Sifa zao ndio zimewatambulisha..Elimu, Tamaduni, maendeleo nakadhalika.
Sio kweli
Sawa mwiziEndelea kua mwaminifu , kesho kutwa tutakuchagua ukafanye upadrisho parokia ya mtakatifu sesilia
Yeah ni mule muleMzee wangu mmoja wa kichagga aliniambia wakamba na wachagga Ni walewale kabila moja tu.
Mzee wangu mmoja wa kichagga aliniambia wakamba na wachagga Ni walewale kabila moja tu.
Angalia top tena ya makabila yaliyoendelea afrika utaona
Yani Wahaya na misifa yao yote wanakosekana aghandi wakora waitu...
Mnapanda basi la ukabila? - J.K Nyerere.
😅😅 , na wakinga pia wanajitahidi mno
Huu uzi ni wa ubaguzi wa kikabila.Makabila yapo na ni realistic tuache kuwa wanafiki mkuu. Kikubwa tusibaguane ila kusema mazuri yalipo ni muhimu kwa vizazi vijavyo.
Acha mambo ya ukabila ktk karne hii, kwanza hueleweki umeandika nini. Mtu mweusi ni km nyani bado, karne ya 21 unaongelea ukabila? Hopeless kabisa! Wachaga sijui mnawashwagwa na nini, ktk makabila zaidi ya 120 kwanini ni ninyi tu mnahangaika humu mitandaoni? Mbaya zaidi ndiyo kabila limetokea maeneo ya kimaskini sana, ni inferiority inawasumbua? Hebu tulieni mjiaminiUkiachana na Wamasai ambao wapo Kenya na Tanzania.
Wachagga ndio Kabila pekee ambalo lipo Tanzania tu lilotokea kwenye hii list.
Cha kushangaza Wachagga sio wanaongoza kwa idadi ya watu hapa Tanzania kama ilivyo kwa nchi nyingine nyingi ambazo makabila yaliyotokea ndio yanaongoza kwa wingi wa watu kwenye nchi zao mfano kwa Wakikuyu.
Sababu ni nini Wakuu?
Kumbe ni kweli wahenga walivyosema wingi sio hoja.
Huu uzi ni wa ubaguzi wa kikabila.
Wa kusema "Wachagga si wengi sana lakini mambo yao makubwa"
Huelewi wapi?
List yenyewe ina authority gani?Ubaguzi hapo upo wapi mkuu. Si uhalisia wenyewe kuna kabila lingine nililolitaja ambalo halipo kwenye list.
Acha mambo ya ukabila ktk karne hii, kwanza hueleweki umeandika nini. Mtu mweusi ni km nyani bado, karne ya 21 unaongelea ukabila? Hopeless kabisa! Wachaga sijui mnawashwagwa na nini, ktk makabila zaidi ya 120 kwanini ni ninyi tu mnahangaika humu mitandaoni? Mbaya zaidi ndiyo kabila limetokea maeneo ya kimaskini sana, ni inferiority inawasumbua? Hebu tulieni mjiamini
List yenyewe ina authority gani?
Ukishasema hivyo maana yake mkabila yeyote anaweza kuweka list yake akataka kupaisha kabila lake tu.Hakuna haja ya authority kwenye mtu kutoa mawazo yake kama hiyo list sio realistic ipinge kwa hoja au uje ni list yako.
Tuko hapa Rau tunaufuatilia🤣Nasubiri mtifuano
Nisinywe pombe nisilewe?Kidogo ila usilewe 😃
Ukishasema hivyo maana yake mkabila yeyote anaweza kuweka list yake akataka kupaisha kabila lake tu.
Kwa maneno mengine, hiyo list yako uharo tu.
Tuko hapa Rau tunaufuatilia🤣