Makabila Maarufu Afrika

Makabila Maarufu Afrika

Igbo kikuyu na chagga ni makabila yenye mahusiano makubwa ya ki genetics
Kuna mwanangu mpopo,

Huwa anasema upo uwezekano Eti miaka mia saba iliyopita Babu yake/yao alipita huku klm akaacha mbegu 😂😂😂

Si unajua na wale jamaa kwa kujipakulia minyama ,

Alipenda our industriousness, Business accumen, Resilience etc
 
Kuna mwanangu mpopo,

Huwa anasema upo uwezekano Eti miaka mia saba iliyopita Babu yake/yao alipita huku klm akaacha mbegu 😂😂😂

Si unajua na wale jamaa kwa kujipakulia minyama ,

Alipenda our industriousness, Business accumen, Resilience etc
Hii ni vita bwashee 😄 acha niongeze bia
 
Ukiachana na Wamasai ambao wapo Kenya na Tanzania.

Wachagga ndio Kabila pekee ambalo lipo Tanzania tu lilotokea kwenye hii list.

Cha kushangaza Wachagga sio wanaongoza kwa idadi ya watu hapa Tanzania kama ilivyo kwa nchi nyingine nyingi ambazo makabila yaliyotokea ndio yanaongoza kwa wingi wa watu kwenye nchi zao mfano kwa Wakikuyu.

Sababu ni nini Wakuu?

Kumbe ni kweli wahenga walivyosema wingi sio hoja.
Mnapanda basi la ukabila? - J.K Nyerere.
 
Back
Top Bottom