Majuto ya Chid Benz

Majuto ya Chid Benz

Huyu Chidi in his prime, nilikutana nae Nairobi Eastleigh akiwa na Nonini, Gabu wakishoot ngoma ya Kadhaa, Chidi alikuwa na walinzi wanamlinda, mwili jumba yupo na vest tuu.

Chidi wa kukaa hotel nyota tano, back in the days. Kweli kesho ni fumbo.

Ni Lini Chidy alikuwa na mwili jumba? Nyie mnaosema hivyo miili yenu ikoje?
 
China Mtu anae huza ama kutumia Madawa ya kulevya Adhabu yake ni Kifo.
Chidi nikama tayari Amekufa ki Akili.Laana ziwaendee wale wote walio mpa na kumnunulia Madawa.Tazama Hali yake sasa
Hapana, huwezi kupewa adhabu ya kifo China kwa sababu unatumia madawa ya kulevya, ila selling and distribution inaweza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom