Majuto ya Chid Benz

Majuto ya Chid Benz

😂 word, kujitunza na kula vizuri.

Mimi na kazi nazofanya muda mwingi nakua ndani, nikitoka nje ni mara chache sana niwe na ishu ya msingi, ikiwemo na kuonana na sadali nichukue stock yangu ya mwezi nitulie.

Watu wanaojua natumia ngwai ni wachache sana, wife hana noma yeye shida alikua analeta nikinywa mitungi na hata hivi zilinikataa ikabidi nitemane nazo.

Hata nyumbani napewa sana kesi za bangi za madogo watoto wa mabinamu niwashauri waache kuvuta bangi, ni neema za mwenyezi tu zinafanya nikubali hiyo kazi lakini deep down natumia nguvu kubwa sana kujizuia nisiwaulize hao watu (mashangazi na madingi) "kwani bangi ina tatizo gani?" 😂
Hongera sana mkuu , kwamba pombe hautimii kabisa bwashee?🤔
 
Yooh so una smoke, una meditate na ushawahi jaribu shroom?
Ungekua jamaa angu sana 😂
Yeah mimi nina meditate na hatua zote mpaka za astral projection nazifanya ila ukiona nalewa na nipo level hii ujue mimi ni nguli na ninajua namna ya kufanya bwashee 🤣
 
Maisha ni safari ndefu sana,sasa ukubwa unamuingia anaanza kuingiwa na hofu,maisha yasio na muelekeo,hatima yake,kifo n.k.,na ujuwe kadri unavyozidi kuzeeka ndivyo kilevi kinamchukua zaidi, kwahiyo mateso yanaongezeka.Aombe Mungu sana atamnusuru...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom