Hongera sana mkuu , mimi nilijaribu ila naona kama nilikurupukaAlcohol free since January 1 , 2024.
Mimi kuna mtu namjua alikuwa anatumia madawa tokea mwaka 2000 ameteseka sana ila cha ajabu nimemuona mwaka jana December kanenepa na ana afya nzuri hatumii tena madawa ya kulevya nilishangaa sana wenzake aliokuwa anatumia nao wameshafariki mda sana ila yeye kaacha na bado yupoHuyu Chidi in his prime, nilikutana nae Nairobi Eastleigh akiwa na Nonini, Gabu wakishoot ngoma ya Kadhaa, Chidi alikuwa na walinzi wanamlinda, mwili jumba yupo na vest tuu.
Chidi wa kukaa hotel nyota tano, back in the days. Kweli kesho ni fumbo.
Yeah wapo wengi ni maamuzi tu na juhudi mda mwingineMimi kuna mtu namjua alikuwa anatumia madawa tokea mwaka 2000 ameteseka sana ila cha ajabu nimemuona mwaka jana December kanenepa na ana afya nzuri hatumii tena madawa ya kulevya nilishangaa sana wenzake aliokuwa anatumia nao wameshafariki mda sana ila yeye kaacha na bado yupo
Mimi mbishi sana, nimeibishia pombe ikashindwa kubishana nami 😂😂😂.Hongera sana mkuu , mimi nilijaribu ila naona kama nilikurupuka
He decide to change, na akawezaMimi kuna mtu namjua alikuwa anatumia madawa tokea mwaka 2000 ameteseka sana ila cha ajabu nimemuona mwaka jana December kanenepa na ana afya nzuri hatumii tena madawa ya kulevya nilishangaa sana wenzake aliokuwa anatumia nao wameshafariki mda sana ila yeye kaacha na bado yupo
Mimi kuna mtu namjua alikuwa anatumia madawa tokea mwaka 2000 ameteseka sana ila cha ajabu nimemuona mwaka jana December kanenepa na ana afya nzuri hatumii tena madawa ya kulevya nilishangaa sana wenzake aliokuwa anatumia nao wameshafariki mda sana ila yeye kaacha na bado yupo
Mh. RAIS wetu ajaye, kwanza naomba nichukie muda huu Kwa heshima na taadhima nikusalimu pia nikupe pole ya Majukumu ya mchana kutwa.Mimi kuna mtu namjua alikuwa anatumia madawa tokea mwaka 2000 ameteseka sana ila cha ajabu nimemuona mwaka jana December kanenepa na ana afya nzuri hatumii tena madawa ya kulevya nilishangaa sana wenzake aliokuwa anatumia nao wameshafariki mda sana ila yeye kaacha na bado yupo
Kwel wewe kiranga😆😆 mimi acha ninywe kwanza siku nikiivalia njuga na mimi naipiga chini 😆Mimi mbishi sana, nimeibishia pombe ikashindwa kubishana nami 😂😂😂.
Uraibu kama wa Chidy ni ugonjwa.
Magic mushroom umeshawahi ivuta kaka?😅Ulozi nimeweza.. Gambe nimeweza.. Moshi occasionally...bado niniView attachment 3374901
Cc. min -meUlozi nimeweza.. Gambe nimeweza.. Moshi occasionally...bado niniView attachment 3374901