Madawa ni noma na inasemwa HATA KWENYE VIAUNGURAAA SIKUIZI WANA TUPIAMO METHADONEKugundua tatizo ni hatua mojawapo ya kujitibu, kwa sasa anatumia njia gani kurudi kwenye hali yake ya awali?
Wazee wa kuzibiti ubora wanasemaje?Madawa ni noma na inasemwa HATA KWENYE VIAUNGURAAA SIKUIZI WANA TUPIAMO METHADONE
Ni kimya kimya ndio maana chunguzaa wanao kunywa vi SUNGURAAA HAWAWEZI KUACHAAWazee wa kuzibiti ubora wanasemaje?
Point ipo hapa,lipo daraja linalonufaika na hali hiyo
Ahahaaaa...!Mkuu min -me sisi tuendeleze ngano na spirit TU.
Mambo ya heroin na msuba sishaur kabisa tusije poteza mwelekeo ndugu yangu.
Inasikitishaa Sanaa.Ahahaaaa...!
Kisungura ndo aina gani ya pombe MkuuNi kimya kimya ndio maana chunguzaa wanao kunywa vi SUNGURAAA HAWAWEZI KUACHAA
Ile habari niliiweka Mimi JamiiCheck tafadhali fuatiliaHuyu jamaa mbona kama unamuandama sana...nilisikitika sana siku ulipoleta habari za UONGO kua amefariki.
Simply ni izi POMBEKALI ZILE cheap cheap Zina majina mengi mengi mkuu.Kisungura ndo aina gani ya pombe Mkuu
😂 word, kujitunza na kula vizuri.Kabisa unakula kistaarabu , kuna mwana humu kuna mchongo tuliupiga wote sasa ilinilazimu nimpigie video akashangaa kwamba alitarajia mimi ni cha pombe mpaka kwenye muonekano , kumbe ni mambo ya kujitunza tu na kula vizuri🤣
Usiniambie umefika na huo mzee 😂Magic mushroom umeshawahi ivuta kaka?😅