ni mdada ila katupa makavu lolHe's telling u the truth!Umenifanya niisome comment yake kwa umakini zaidi.
Msome haya girl uchanike mbavu twin!Nimepata Twin
Yaaan mi nimecheka mpakaa!ni mdada ila katupa makavu lol

Safi sanaHutajuta mkuu
Nataka tuonane mziguaAlietoa pesa bandia kauziwa cheni bandia.
kuchanika kwa jamvi sio mwisho wa maongezi mkuu. Umekata tamaa mapema sana. Kwanza ulijua unaenda kukutana na Priyanka Chopra au? Maana umeumia kweli kweli. Na wewe una mvuto kidogo au unataka tu kukutana na wanawake warembo?
Baada ya huu uzi unadhani uliekutana nae atajisikiaje umemulna ni mbaya? Maumivu mengine tubaki nayo tu mioyoni. Sasa unadhani kuna mwanamke mwingine huku atataka kuonana na weww ili aje kunangwa muonekane wake? Fikiri kabla hujatenda.
😂😂😂 Rafiki huo ni msemo wa wahengaMkuu hii ni mithali au methali?
Nataka tuonane mzigua
YalaaaaaMademu wengi wa jf ni mazombi
Habari zenu wana MMU,
Usidanganyike na mada zao.
Usidanganyike na avatar zao
Usidanganyike na swaga zao.
Usidanganyike na usomi wao.
Usidanganyike na kejeri zao humu jukwaani.
Usidanganyike na kujifanya mambo safi
Wanaoponda wanaume wafupi, mara wasio na magari mazuri.
Wengi wao ukikutana nao hutaamini kile ukionacho mbele ya macho yako.
Huyu
Acha nipambane na hawa wa kina mwajuma ndala ndefu wa huku kwetu KIMBANGULIRE.
Leo ninatubu na storudia kumpenda mtu kwa avatar yake au picha.
Camera za 360 na simu za tecno zinawapendelea sana.
Nasema hivi .
(NIMETUBU SITARUDIA)
Muwe na na siku njema.

Kuwa na heshima basi mkuu?Bora utongoze fesibuku kuliko JF mkuu humu kuna mademu wanamzidi mizengo pinda