Majuto: Sitatongoza mtandaoni tena

Majuto: Sitatongoza mtandaoni tena

We mama utakuwa garasa halafu mashauzi kama yote

jikubali tu usijipe usivyonavyo
Nisivyonavyo unamatatizo kabisa sina nini nimeumbwa mwanamke nikose nini acha mashauzi bila sisi huwezi kuishi kwa amani kuwa mpole
 
Juzi nilikua kwa G. Nimemchek wambeke nikasema akifika tukushtue uje maana nilikua na yule dada angu rafiki yake wambeke. Kabla hajajibu message mambo yakavurugika nikarudi miguu ilala kulala. Yani kila mtu mbaya jamani. Wakurya sijui wamejulia wapi wanawake wazuri
Hahhaaha wambeke hapana aisee kwake hakuna mzuri sasa hayo mambo yalivurugika vipi jamani ebu mcheck tena
 
Pole mkuu,inaonesha ulipagawa na sauti kabla ujaonana nae.maana wengine wanasauti nzuri ila ukimuona kwa mbali lazima uzime simu tu ila asikupate .
 
Hahaaaa makubwa haya hivi unavutiwaje na avator ya mtu eti ndo upendo kah kwani mtu akiwa na hyo sura kajiumba yeye si ndo alivozaliwa you can't change it umba wa kwako mzuri, mi ndo mana hushangaa watu humu anataka akuone sura na picha ili iweje. JF ni mtandao mzuri ukiutumia positive wengine tumekutana na watu humu twaheshimiana no utoto sijui sura, status tumekuwa wote Mengi.
Hongera mkuu mara nyingi michango yako ni chanya baki hapo hapo keep the good work
 
Kuna mmoja nilimwambia DUUH! !! Hadi nimekutana na wewe humu mitandaoni, hii ni ishara ya mie kuachana na na habari za PM vinginevyo ntaja tongozwa na mjomba au baba mdogo au kaka... bora hata binamu ntakuwa nyama ya hamu.

Kikaishia hapo hatukutafutana TENA japo tulikuwa tunafahamiana kabla na heshima imebaki pale pale.

Pole kwa yaliyikusibu.
 
Back
Top Bottom