Majuto: Sitatongoza mtandaoni tena

Majuto: Sitatongoza mtandaoni tena

Baba Gluk pole na yaliokusibu baba, mimi nimekuelewa sana lakini usidhani uko peke yako kwenye maswahiba hayo kuna wengi yamewakumba hapa wanaugulia maumivu kimya kimya. Nawafahamu kadhaa waliwahi kuvuka hadi mikoa wengine wakipanda ma dream liner yale madege ya magufuli na mahasara kibao, wamefika wamekodi mahoteli ya gharama sana wanajiandaa kuua mtu, mtu mwenyewe anapojitokeza na kuona jinsi alivyo ni majuto makubwa....wapo. Wapo waliokwenda kupokea ugeni ubungo tena usiku mnene wakingatwa na mbu kusubiri vitamu na mwisho wakajutia sana kwa walichokiona.....wapo. Nakwambia wapo hapa. Usilie sana mkuu wapo wengi.
 
Hahaha nihatar lakini nisalamaaa me naona ili jukwaa liendee kunoga tuendeleze mafekecho tu kila mtu anaelimu kuanzia degree, kila mtu anagari kila mtu alishapanda ndege, kila mtu anaishi new York city (makonda city)
Ndio mambo ya Jeiefu, kila mtu much know humu na kujivika vyeo ni kama jadi hamna mtu ambae ana maisha ya chini ha ha ha kila mtu ana mpira na job mjini!
 
Baba Gluk pole na yaliokusibu baba, mimi nimekuelewa sana lakini usidhani uko peke yako kwenye maswahiba hayo kuna wengi yamewakumba hapa wanaugulia maumivu kimya kimya. Nawafahamu kadhaa waliwahi kuvuka hadi mikoa wengine wakipanda ma dream liner yale madege ya magufuli na mahasara kibao, wamefika wamekodi mahoteli ya gharama sana wanajiandaa kuua mtu, mtu mwenyewe anapojitokeza na kuona jinsi alivyo ni majuto makubwa wapo, waliokwenda kupokea ugeni ubungo tena usiku mnene wakiliwa na mbu kusubiri vitamu na mwisho wakajuta wapo. Nakwambia wapo hapa. Usilie sana mkuu wapo wengi.
Hahahaha, aseee
 
Jamaa anaonekana kapata kamkasa kazuri sana kenye mafundisho ndani yake, ila ndio hivyo anatubania kufunguka ila hii ndio JF ipo siku utafunguka mwenyeweee
 
Kimekutokea nini mkuu, ila wewe una tatizo utampendaje mtu kwa avator, sijui picha, au comments, ujue huo ulikuwa upendo fake ila ungependa moyoni wala usingeona shida, mi ndo maana hushangaa mtu ansyevutiwa na mtu kisa picha kah BY the way wa mtaani na JF ndo hao hao. Jifunze kupenda mtu bila kuweka hisia

Una picha nimevutiwa na ww
 
Baba Gluk pole na yaliokusibu baba, mimi nimekuelewa sana lakini usidhani uko peke yako kwenye maswahiba hayo kuna wengi yamewakumba hapa wanaugulia maumivu kimya kimya. Nawafahamu kadhaa waliwahi kuvuka hadi mikoa wengine wakipanda ma dream liner yale madege ya magufuli na mahasara kibao, wamefika wamekodi mahoteli ya gharama sana wanajiandaa kuua mtu, mtu mwenyewe anapojitokeza na kuona jinsi alivyo ni majuto makubwa wapo, waliokwenda kupokea ugeni ubungo tena usiku mnene wakiliwa na mbu kusubiri vitamu na mwisho wakajuta wapo. Nakwambia wapo hapa. Usilie sana mkuu wapo wengi.
Kuna wengine walijikoki mpaka kuazima gari kwakujua anaenda ubungo kupokea demu bomba waviwango vyajuuu chaajabu walichokutana nacho nikilio aisee, kuna wengine mpaka wanaingia madeni yaani wanakopa kabisa ili walale hotel nzuri ila mwisho wasiku wanakutana navituko vinavyostahili kupelekwa mbavu zambwa
 
basi na wewe ulikuwa feki mzee,ukakutana na kanyaboya....
 
Kuna wengine walijikoki mpaka kuazima gari kwakujua anaenda ubungo kupokea demu bomba waviwango vyajuuu chaajabu walichokutana nacho nikilio aisee, kuna wengine mpaka wanaingia madeni yaani wanakopa kabisa ili walale hotel nzuri ila mwisho wasiku wanakutana navituko vinavyostahili kupelekwa mbavu zambwa
Hahahaha, asee ,mnanifurahisha
 
Back
Top Bottom