Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,319
- 201,540
For sure I have been looking at your post quite sometimes, and you seem very good upstairsThanks dear for ur appreciation I like it from my heart
For sure I have been looking at your post quite sometimes, and you seem very good upstairsThanks dear for ur appreciation I like it from my heart
Jamani pole mnoo kwa kuumwa
Ha ha ha ha ha ha ulishawahi kukutana na tukio la namna hii
Hahahaha, hapana bibie soma vzr juu kdg ya hy utaelewa binti
Ndugu hebu dadavu kidogoHabari zenu wana MMU,
Usidanganyike na mada zao.
Usidanganyike na avatar zao
Usidanganyike na swaga zao.
Usidanganyike na usomi wao.
Usidanganyike na kejeri zao humu jukwaani.
Usidanganyike na kujifanya mambo safi
Wanaoponda wanaume wafupi, mara wasio na magari mazuri.
Wengi wao ukikutana nao hutaamini kile ukionacho mbele ya macho yako.
Huyu
Acha nipambane na hawa wa kina mwajuma ndala ndefu wa huku kwetu KIMBANGULIRE.
Leo ninatubu na storudia kumpenda mtu kwa avatar yake au picha.
Camera za 360 na simu za tecno zinawapendelea sana.
Nasema hivi .
(NIMETUBU SITARUDIA)
Muwe na na siku njema.
Thanks for ur appreciationFor sure I have been looking at your post quite sometimes, and you seem very good upstairs

Sasa chief baamed naye ni binadamuHahahahahahah, ni noma mkuu kuna moja niliwahi ivutia whatsapp kucheki kumbe ni baamed af kolo kinoma nikaona isiwe kesi, since then no shobo humu! Tuchat tu yaishie hapa
Hahahahaitakua yuko kwa mangi kavurugwa..
Hahahaha, OK sawa ,ila mie sijui km una 'jojoba tank' au laHujaelewa basi nilichokua nimeandika. Nilisema mimi ndo nina jojoba tank
Oh my!!Irish descent on fleek![]()
![]()
...kama mtu hataki anye parachichi
![]()
![]()
Ha ha ha ha ni muhimu kujiamini....natumaini uko powaHapana mkuu.. mimi mwanamke siliwi kwa bahati mbaya
Najua ila sikuvutiwa na hali halisiSasa chief baamed naye ni binadamu
Najua ila sikuvutiwa na hali halisi














Mkuu hii ni mithali au methali?Tuwekee hapa picha yako na yake tutoe tathmini. Maana isijekuwa yale mambo ya nyani kutoona kundule
Hahaaahhaaa.. naomba msamaha kwa niaba ya wenzangu wote.
Mtoa mada kakosea sana JF, hatupigani vijembe ukiona umeokota shubiri badala ya embe dodo unapiga kimya, that's the way of great thinker's. mbona tumekutana na wengi tu was hivyo ? mnapiga kichwaji nyama choma baadae kila MTU kivyake.mambo ya mitandaoni ni mitamu Ila akili mu mnywele....Wacha weee. Kwahiyo wewe mbaya? Kina sisi tusemeje halafu? umenifanya nimkumbuke @Wambeke
Hahahaha, OK sawa ,ila mie sijui km una 'jojoba tank' au la
Mtoa mada kakosea sana JF, hatupigani vijembe ukiona umeokota shubiri badala ya embe dodo unapiga kimya, that's the way of great thinker's. mbona tumekutana na wengi tu was hivyo ? mnapiga kichwaji nyama choma baadae kila MTU kivyake.mambo ya mitandaoni ni mitamu Ila akili mu mnywele....
Hapo atalalama sana ,Ila ukweli haurudi nyuma..!!! kama ndio ilikua ya NSSF ya mafao nampa pole..Tatizo analalamikia na hela zake alizospend kwa mrembo wa avatar