cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,067
- 46,696
Ur correct vtu vingine ni kuvimezea tu wallahNaogopa kumsema mtu kwa sura yake saana naona kama namdhalilisha.
Mfano kama nimekutana na mwanamke humu hata kama nimboovu...akinitumia picha namsifia tena saana.
Hakuna jambo mbaya kama kumwqmbia mtu u mbaya.
Itamuuma.