Majuto: Sitatongoza mtandaoni tena

Majuto: Sitatongoza mtandaoni tena

Naogopa kumsema mtu kwa sura yake saana naona kama namdhalilisha.

Mfano kama nimekutana na mwanamke humu hata kama nimboovu...akinitumia picha namsifia tena saana.

Hakuna jambo mbaya kama kumwqmbia mtu u mbaya.

Itamuuma.
Ur correct vtu vingine ni kuvimezea tu wallah
 
We nawe una dataaa khaah. Haya huyo mjukuu wake anaitwa nan?
Kisu labda yule mjukuu wako, kidogo alikuwa kisu ila naye malingo yake huku Jf hayakuendana na maisha yake halisi.
 
Kisu labda yule mjukuu wako, kidogo alikuwa kisu ila naye malingo yake huku Jf hayakuendana na maisha yake halisi.
Amepotea saana aiseeh.

au shule ndiyo imembana?

au umemficha?
 
Akiii siku mtu akiniambia hivi naweza kufa. Mwenyewe najiona queen (natania jamani) mara paap mtu aniambie sura yangu mbaya.
Naogopa kumsema mtu kwa sura yake saana naona kama namdhalilisha.

Mfano kama nimekutana na mwanamke humu hata kama nimboovu...akinitumia picha namsifia tena saana.

Hakuna jambo mbaya kama kumwqmbia mtu u mbaya.

Itamuuma.
 
Naogopa kumsema mtu kwa sura yake saana naona kama namdhalilisha.

Mfano kama nimekutana na mwanamke humu hata kama nimboovu...akinitumia picha namsifia tena saana.

Hakuna jambo mbaya kama kumwqmbia mtu u mbaya.

Itamuuma.
Ofcourse si busara kumuongelea mtu usoni kuwa ye ni hajakuvutia, maana kiuhalisia amna mtu mbaya!
 
Back
Top Bottom