cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,067
- 46,653
Ur correct vtu vingine ni kuvimezea tu wallahNaogopa kumsema mtu kwa sura yake saana naona kama namdhalilisha.
Mfano kama nimekutana na mwanamke humu hata kama nimboovu...akinitumia picha namsifia tena saana.
Hakuna jambo mbaya kama kumwqmbia mtu u mbaya.
Itamuuma.
....hata mi nakukubali shost, hunaga usnitch wa kisolo!..