Majuto: Sitatongoza mtandaoni tena

Majuto: Sitatongoza mtandaoni tena

Mapenzi ya mtandaoni kudanganyana tu kuna jamaa mmoja alipanga kuonana na mwanamke fb kumbe walionana nikiwa Dar ilibidi jamaa ale kona sababu kumbe alizania kisu kumbe tayari age imekwenda jamaa anazima simu namuona
 
Ndiooo Mtani.

Naweza jiona niko level zingine ila siku ya kunioa ukitoka hapo unajuta kuchoma mafuta yako.
Hahahaha, mtani kwako sina hofu kabisa, sitojutia kuonana na wewe ,ila je wewe huwezi kujutia kuonana na mm?
 
Mkuu Ebu Tupiako Kapicha Tuwaone Akina Mwajuma Ndala Ndefu Wa Huko Kwenu Huwenda Na Sisi Tukatubu Kama Wewe Hahahahahahah
 
Hahahaha, mtani kwako sina hofu kabisa, sitojutia kuonana na wewe ,ila je wewe huwezi kujutia kuonana na mm?
Hahahaaaa. Sinaga hizo mambo Mtani sijui ndio Uhenga huu nilionao. πŸ™ˆπŸ™ˆπŸ™ˆ

Ikija kutokea Mtani walaaaa usihofu kabisaaaa.
 
Hahahaaaa. Sinaga hizo mambo Mtani sijui ndio Uhenga huu nilionao.

Ikija kutokea Mtani walaaaa usihofu kabisaaaa.
Hahahaha, nakuaminia mtani ,najua siku hy itakua ya mfano,uzuri sie wahenga hatuna haya mambo , natumai siku yenyewe yakaribia , ila mtani unavyoziba uso km hv kwan unaogopa nn
 
Back
Top Bottom