Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,110
- 122,503
πππππ wanasemaga uzuri wa mtu upo machoni kwa mtu rafiki.
Tunaweza jitutumua hapa ila mwisho wa siku kila mmoja jicho lake likaona lwake. ππππ
πππππ wanasemaga uzuri wa mtu upo machoni kwa mtu rafiki.
Hahahahawanasemaga uzuri wa mtu upo machoni kwa mtu rafiki.
Tunaweza jitutumua hapa ila mwisho wa siku kila mmoja jicho lake likaona lwake.![]()
Ndiooo Mtani. ππππHahahaha



Hahahaha, mtani kwako sina hofu kabisa, sitojutia kuonana na wewe ,ila je wewe huwezi kujutia kuonana na mm?Ndiooo Mtani.
Naweza jiona niko level zingine ila siku ya kunioa ukitoka hapo unajuta kuchoma mafuta yako.![]()
Hahahaaaa. Sinaga hizo mambo Mtani sijui ndio Uhenga huu nilionao. πππHahahaha, mtani kwako sina hofu kabisa, sitojutia kuonana na wewe ,ila je wewe huwezi kujutia kuonana na mm?
Hahahaha, nakuaminia mtani ,najua siku hy itakua ya mfano,uzuri sie wahenga hatuna haya mamboHahahaaaa. Sinaga hizo mambo Mtani sijui ndio Uhenga huu nilionao.
Ikija kutokea Mtani walaaaa usihofu kabisaaaa.
, natumai siku yenyewe yakaribia
, ila mtani unavyoziba uso km hv
kwan unaogopa nn

Ama kweli, Japo ule uzuri General upo tu!πππππ wanasemaga uzuri wa mtu upo machoni kwa mtu rafiki.
Tunaweza jitutumua hapa ila mwisho wa siku kila mmoja jicho lake likaona lwake. ππππ
@Hajar anaonekana ni mzuri ,hahahahaAma kweli, Japo ule uzuri General upo tu!
avatr husadifu uhalisia wa mtu kwani yangu umeielewajeSasa hapo kosa sio avator ni wrong imagination zake tupu. Hivi.mtandao unampenda tu mtu from now where eti avator mi naona ni shida tupu
Hahahaaa. Japo pia kuna macho hayajuagi hiyo kitu.Ama kweli, Japo ule uzuri General upo tu!
πππ Uuuwiiii.@Hajar anaonekana ni mzuri ,hahahaha
vipi lakini bi hajarHahahaaa. Japo pia kuna macho hayajuagi hiyo kitu.
Hahahaha, acha masihara ,wanaofanana na babu zao wanasemaga? mie nitajionea hy siku ya siku tutakayopangaUuuwiiii.
mie nafanana na Babu yangu Mtani.
![]()

Mie Alhamdulillah. Niaje?vipi lakini bi hajar
Hahahaaa. Nakwambia tena.Hahahaha, acha masihara ,wanaofanana na babu zao wanasemaga? mie nitajionea hy siku ya siku tutakayopanga![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mzuka Kabisa bi mkubwa harakati ni nini!Mie Alhamdulillah. Niaje?
Nipo napambana na hali yangu huku Porini.Mzuka Kabisa bi mkubwa harakati ni nini!