MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
Wadau Habarini,
Samahanini kama nitakuwa nimewakwaza but jana usiku nilikuwa nasikiliza mahubiri katika Radio moja, mhubiri alikuwa anaelezea vyakula ambavyo binadamu haturuhusiwi kula, mmoja wapo ni huyu mkuu wa meza bwana Kitimoto. Nikakumbuka kuwa ni vitabu vyote vinakataza huyu mkuu asiliwe.
Lakini ghafla likanijia wazo hivi si wanasema (Sijui kina nani nasikiaga tu) kuwa huyu mkuu wa meza majini hayampendi kabisa na kuwa huwa anayakimbiza?
Nikajiwa na wazo tu kwa nini tusiruhusiwe ili tujihami na majini? Au ndugu zetu wenye majini (nilishawahi kusikia kuwa wapo wenye majini mahaba, n.k wanapandisha yanadai sijui kiti wao alete nini na nini sijui) Kwa nini hawa watu wasiwe wanapewa mkuu wa meza kama tiba ya kuyaondosha badala ya kuyapunga tu yatulie?
Hebu nisaidieni wajameni!
Samahanini kama nitakuwa nimewakwaza but jana usiku nilikuwa nasikiliza mahubiri katika Radio moja, mhubiri alikuwa anaelezea vyakula ambavyo binadamu haturuhusiwi kula, mmoja wapo ni huyu mkuu wa meza bwana Kitimoto. Nikakumbuka kuwa ni vitabu vyote vinakataza huyu mkuu asiliwe.
Lakini ghafla likanijia wazo hivi si wanasema (Sijui kina nani nasikiaga tu) kuwa huyu mkuu wa meza majini hayampendi kabisa na kuwa huwa anayakimbiza?
Nikajiwa na wazo tu kwa nini tusiruhusiwe ili tujihami na majini? Au ndugu zetu wenye majini (nilishawahi kusikia kuwa wapo wenye majini mahaba, n.k wanapandisha yanadai sijui kiti wao alete nini na nini sijui) Kwa nini hawa watu wasiwe wanapewa mkuu wa meza kama tiba ya kuyaondosha badala ya kuyapunga tu yatulie?
Hebu nisaidieni wajameni!