Kasome biblia agano jipya, Yesu amemkuta mtu ana bonge na mapepo, yule mtu akalia sana, akamuuliza Yesu una nini nasi? kwanini unataka kutuua? akaomba twakuomba bas usitufanye kitu, turuhusu tuwaingie hao nguruwe, Yesu akauliza wewe pepo mchafu jina lako nani? yule mtu akajibu, tuko wengi sisi ni jeshi. Yesu akawaruhusu wakaenda na kuwaingia nguruwe. yule mtu akawa huru. sasa mimi sitaki kutoa ufafanuzi zaidi, mjumbe hauwawi, kila mtu sijui akisomaga apa ua anaelewaje, ila wewe kwa mujibu wa swali lako tafakari.....................................!!!!!!!
Si kwamba mapepo waliwaingia nguruwe ila nguruwe walikataa kuingiliwa na mapepo ndo maana wakaona ni heri kufa baharini kuliko kuingiwa na mapepo..........na hpo ndo ikawa siri ya mapepo kukaa baharini......ila nguruwe hakuingiliwa na mapepo.....
Si kwamba mapepo waliwaingia nguruwe ila nguruwe walikataa kuingiliwa na mapepo ndo maana wakaona ni heri kufa baharini kuliko kuingiwa na mapepo..........na hpo ndo ikawa siri ya mapepo kukaa baharini......ila nguruwe hakuingiliwa na mapepo.....
Unasumbuliwa na wanga kila usiku? Unaona mauzauza ulalapo? Mapanya na mapaka yenye sauti za ajabu ajabu vinakusumbua? Unaamka na uchovu na kuota ndoto za ajabu? Lala na mfupa wa kitimoto, sio kitandani weka uvunguni au ufungie kwenye kona ya chumba unacholala...wakija jamaa watasepa...hiyo ndio kiboko yao
Haahaha mshana na desturi za zamanii bado hupo huko tu,ikiwa tatizo ni hilo sali kabla ya Kulala
bangi ni kilevi, ulevi ni mzizi wa dhambi meaning ni channel ambayo shetani anapitishia makombora yake. Wachawi na uchawi ni vitu vinavyotumiwa na wachawi.
Ambao hawarogeki na wale wanakumbatiwa na mungu pekee yake. Ni wale walifunikwa na damu takatifu ya yesu.
9. Hata siku ya pili, walipokuwa wakisafiri na kuukaribia mji, Petro alipanda juu darini, kwenda kuomba, yapata saa sita ya mchana;
10. akaumwa na njaa sana, akataka kula; lakini walipokuwa wakiandaa, roho yake ikazimia,
11. akaona mbingu zimefunuka, na chombo kikishuka kama nguo kubwa, inatelemshwa kwa pembe zake nne hata nchi;
12. ambayo ndani yake walikuwamo aina zote za wanyama wenye miguu minne, na hao watambaao, na ndege wa angani.
13. Kisha sauti ikamjia, kusema, Ondoka, Petro, uchinje ule.
14. Lakini Petro akasema, Hasha, Bwana, kwa maana sijakula kamwe kitu kilicho kichafu au najisi.
15. Sauti ikamjia mara ya pili, ikimwambia, Vilivyotakaswa na Mungu, usiviite wewe najisi.
Hata mimi nashangaa........... sijui kwa nini hatuli na TAMBI
WakuuAfu wewe? Umeamkia upande upi leo?
Vitabu vyote vipi?
Mi cha kwangu mbona kinaruhusu?
Dhibitisha, ikiwezekana unakili mstali mzima na ref na kutuonyesha kwamba tokea pale nguruwe walikataa na kusema no no please, na hivyo mapepo yakasema kama mmetukataa wacha twende baharini na pia dhibitisha kuwa toke siku ile ndo chanzo cha mapepo kukaa baharini. dhibitisha tafadhari.