nampendayeye
Senior Member
- Mar 24, 2015
- 125
- 71
yawezekana nguruwe wana mapepo ya asili na yenye nguvu yale yaliyo andikwako kwenye bible?
Wale mapepo wote walikufa. Uliambiwa kama kuna nguruwe aliyepona siku hiyo? Na je katika mji ule wote kulikiwa na wale nguruwe peke yake? Hahahaha...tujaribu kujibu hayo maswali basi.