Majina ya waliochaguliwa vyuo vikuu 2018/2019:

Majina ya waliochaguliwa vyuo vikuu 2018/2019:

Kuna yeyote alie omba io 4th round maana naona account ime tulia tu kama ime jaa maji
 
Habari Jf,Mpaka sasa na shindwa kuelewa TCU wame ruhusu vyuo kudajili tena kwa awamu ya nne ila hakuna chuo ata kimoja kilicho ruhusu udahili zaidi ya chuo kikuu cha ardhi tu na kama vipo vingine tuna omba kuvijua,bora ata udom wame toa izo gapes zilizopo katika kozi ila cha kushangaza wana toa izo gapes huku wana toa multiple third round sasa watajua vipi watu wata kao confirm kubaki apo udom,mbona kama vyuo vina taka kuleta mambo ya ajabu chuo kama SUA ndo na shindwa kuki elewa kabisa sijui ndo wana nafasi kidogo kwa watu wa digrii ila kwa watu wa diploma wana toa nafasi za kutosha,chuo kama SUA sijaona kitangaze udahili kwa round ya tatu na wali ishia tu second,second pia walitoa majina kidogo sana sasa sijui ndo upungufu wa lectures room kwa kweli ni vitu vya kusikitisha tume ya vyuo vikuu ina mamlaka makubwa sana katika vyuo vikuu apa Tanzania ila vyuo havi fuati vile tume ilivyo amrisha ina kuwa haina maana TCU kutangaza 4th round ila vyuo vingi bado vipo kimya kama vipo tunaomba uorodheshe hapa Jf.Na kama chuo hakina nafasi kwa kozi yeyote ile toeni matangazo katika profile zenu za chuo kuliko tuendele kusubiri vitu visivyo julikana kwanini Tanzania tuba kuwa bado tupo nyuma sana ivi katika technology wakati IT students wame jaa tu mtaani wana print matshrt.Kwa kweli izi system zina kera sana kama ii mifumo ime wa shinda mbora mrudishe mfumo wa zamani ila sio huu,ina kera sana Jf nzima ina jaa tu ma lalamiko ya udahili necta mashuleni wa tubanie katika utungaji wa mitihani na kutupandishia grade kila siku ila watu bado wana faulu tu tena kwa statistic kubwa bado tena chuo iwe stress nyingine..Ni kero kwa kweli
Udom wameweka kozi ambazo zipo toka round hadi ya 4 bado unaomba unakosa...aisee CAS irudi .
 
mbona Airuhusu Kuomba Tena We Jamaa Umekula Maharage Ya Wapi Mbona Muongo Muongo
Ingia pembeni kushoto kuna sehemu unaclick inandika APPLY PROGRAME...


ILA WANAKERA WAMEWEKA KOZI ZA TOKA ROUND YA KWANZA MFANO;
1.BSC EDUCATION
2.BSC ED ICT
3.GUIDANCE AND COUNSELING
4.BSC PHY
5.BSC HEALTH INFO SYSTEM
HIVI UDOM HIZI KOZI SIZIME JAA ZA NINI MNAWEKA TOKA ROUND YA KWANZA HADI SASA NAWATU WANAOMBA WANAKOSA.

N:B TCU WARUDISHE central admission system
 
Udom wameweka kozi ambazo zipo toka round hadi ya 4 bado unaomba unakosa...aisee CAS irudi .
, hata CAS Haya mambo yalikuwepo. Una vigezo vyote na uliiweka Kozi first choice na bado unatemwa. Unapiga moyo konde unadhani labda ushindani ulikua mkubwa na waliopata walikuzidi vigezo. Ghafla bin vuu unakuta Ile Kozi uliyotemwa ipo tena second round na nafasi kibao (kama zote vile ) .

Lakini tusiponde sana pengine huwa wanaongeza nafasi zaidi ya zile za first round .
 
Hakika bongo kichwa ngumu toka first round mtu ana division two ya CBG anaomba Bachelor of Science with education amekosa Lakini Capacity bado ipo sasa sijui achagueje labda ili apate
 
Hakika bongo kichwa ngumu toka first round mtu ana division two ya CBG anaomba Bachelor of Science with education amekosa Lakini Capacity bado ipo sasa sijui achagueje labda ili apate
Inabidi a apply tu chuo kingine. Kama rounds zote hizo anagonga besela tu basi na hii atagonga besela.
 
, hata CAS Haya mambo yalikuwepo. Una vigezo vyote na uliiweka Kozi first choice na bado unatemwa. Unapiga moyo konde unadhani labda ushindani ulikua mkubwa na waliopata walikuzidi vigezo. Ghafla bin vuu unakuta Ile Kozi uliyotemwa ipo tena second round na nafasi kibao (kama zote vile ) .

Lakini tusiponde sana pengine huwa wanaongeza nafasi zaidi ya zile za first round .

Hakuna namnaa mkuu
 
Tatizo lako wewe ni bwege ndio maana mpaka sasa umekosa chuo , UDOM wametoa tayari na kuna mtu nimemfanyia round ya nne kama unabisha andamana
mbona Airuhusu Kuomba Tena We Jamaa Umekula Maharage Ya Wapi Mbona Muongo Muongo
 
Sasa Unampanikia Nan Bwege N Wwe Unayemfanyia Maomb Bwege Mwenzio Sisi Wenzio Tushatusuaga Mzunguko Wa Kwanza Tena Tunabembelezwa Pa Kwenda
 
Sasa Unampanikia Nan Bwege N Wwe Unayemfanyia Maomb Bwege Mwenzio Sisi Wenzio Tushatusuaga Mzunguko Wa Kwanza Tena Tunabembelezwa Pa Kwenda
Embu angalia hapo wewe bwege unadhani mimi kama wewe hiyo first round!!!
IMG_20181014_123708.jpeg
 
matusi yanini kikubwa tunatakiwa kueleweshana aani ambaye hajui ajuzwe jaman
 
Back
Top Bottom