Majina ya waliochaguliwa vyuo vikuu 2018/2019:

Majina ya waliochaguliwa vyuo vikuu 2018/2019:

akoseme Chochote coz Beka na Bakari ni jina moja
 
DIPLOMA IN ACCOUNTANCY VS DIPLOMA IN PUBLIC ACCOUNTING AND FINANCE
akoseme ipi.
Yeyote tu.

Ila Diploma of Accountancy ni nzuri zaidi kwa sababu 'in public' inaweza ikakuwekea mipaka katika upatikanaji wa kazi katika sekta binafsi.
 
Habari Jf,Mpaka sasa na shindwa kuelewa TCU wame ruhusu vyuo kudajili tena kwa awamu ya nne ila hakuna chuo ata kimoja kilicho ruhusu udahili zaidi ya chuo kikuu cha ardhi tu na kama vipo vingine tuna omba kuvijua,bora ata udom wame toa izo gapes zilizopo katika kozi ila cha kushangaza wana toa izo gapes huku wana toa multiple third round sasa watajua vipi watu wata kao confirm kubaki apo udom,mbona kama vyuo vina taka kuleta mambo ya ajabu chuo kama SUA ndo na shindwa kuki elewa kabisa sijui ndo wana nafasi kidogo kwa watu wa digrii ila kwa watu wa diploma wana toa nafasi za kutosha,chuo kama SUA sijaona kitangaze udahili kwa round ya tatu na wali ishia tu second,second pia walitoa majina kidogo sana sasa sijui ndo upungufu wa lectures room kwa kweli ni vitu vya kusikitisha tume ya vyuo vikuu ina mamlaka makubwa sana katika vyuo vikuu apa Tanzania ila vyuo havi fuati vile tume ilivyo amrisha ina kuwa haina maana TCU kutangaza 4th round ila vyuo vingi bado vipo kimya kama vipo tunaomba uorodheshe hapa Jf.Na kama chuo hakina nafasi kwa kozi yeyote ile toeni matangazo katika profile zenu za chuo kuliko tuendele kusubiri vitu visivyo julikana kwanini Tanzania tuba kuwa bado tupo nyuma sana ivi katika technology wakati IT students wame jaa tu mtaani wana print matshrt.Kwa kweli izi system zina kera sana kama ii mifumo ime wa shinda mbora mrudishe mfumo wa zamani ila sio huu,ina kera sana Jf nzima ina jaa tu ma lalamiko ya udahili necta mashuleni wa tubanie katika utungaji wa mitihani na kutupandishia grade kila siku ila watu bado wana faulu tu tena kwa statistic kubwa bado tena chuo iwe stress nyingine..Ni kero kwa kweli
 
Vyuo vikubwa majina tu , hasa SUA, UDSM, UDOM,MZUMBE, nk lakini hakuna lolote katika mifumo yao ya udahili,

HEKO KWA ARDHI UNIVERSITY wanajitahidi sana kila round kwa mifumo bora ya inayoendana na ratiba sahihi ya TCU.

Big up IT wa ardhi na vyuo vingne vinavyojitahidi kwa udahili ulio fast like,

Napendekeza IT wa ardhi wawe mifano kwa vyuo kama SUA, UDSM na vingine ambavyomifumo ni magumashi
 
Sasa maajabu ni kile cha TIA mtu kaandikiwa 'Pending for Selection' mara 'Selection on Progress' tangu round ya kwanza hadi ya nne imeandikwa hvyo hvyo tu hahahahaha. Halafu ukiwauliza wanakwambia subiri mchakato unaendelea hahahahaha!

Chuo ni sehemu wasomi walipo kuanzia walimu hadi wanafunzi, sasa mara nyingine unashindwa kuelewa huu usomi wa watanzania una matatizo gani?.?.? mbona wanakwama hata vitu vya kawaida kabisa ambavyo havihitaji hata punje ya elimu?.?.?.

Mm nilidhani chuo tena chuo kikuu ndio kingekuwa mfano hai wa namna wasomi wetu wanavyo act na ku behave lkn ni contrary kabisa.....!

Hahahahahahahaha!
 
Kama account haina application status jua umekosa hivyo ingia tena kujaribu ku apply upya utaona system inakuruhusu ku apply upya kuna dogo amekosa ndio hivyo ilitokea.
 
Vyuo vikubwa majina tu , hasa SUA, UDSM, UDOM,MZUMBE, nk lakini hakuna lolote katika mifumo yao ya udahili,

HEKO KWA ARDHI UNIVERSITY wanajitahidi sana kila round kwa mifumo bora ya inayoendana na ratiba sahihi ya TCU.

Big up IT wa ardhi na vyuo vingne vinavyojitahidi kwa udahili ulio fast like,

Napendekeza IT wa ardhi wawe mifano kwa vyuo kama SUA, UDSM na vingine ambavyomifumo ni magumashi
UDOM Tayari wameshatoa results na wameanza round ya nne.
 
Vyuo vikubwa majina tu , hasa SUA, UDSM, UDOM,MZUMBE, nk lakini hakuna lolote katika mifumo yao ya udahili,

HEKO KWA ARDHI UNIVERSITY wanajitahidi sana kila round kwa mifumo bora ya inayoendana na ratiba sahihi ya TCU.

Big up IT wa ardhi na vyuo vingne vinavyojitahidi kwa udahili ulio fast like,

Napendekeza IT wa ardhi wawe mifano kwa vyuo kama SUA, UDSM na vingine ambavyomifumo ni magumashi

Yani mkuu ni upupuu tu ndo maana IT ya bongo ipo mtaani tu
 
Kama account haina application status jua umekosa hivyo ingia tena kujaribu ku apply upya utaona system inakuruhusu ku apply upya kuna dogo amekosa ndio hivyo ilitokea.
mbona Airuhusu Kuomba Tena We Jamaa Umekula Maharage Ya Wapi Mbona Muongo Muongo
 
Sasa maajabu ni kile cha TIA mtu kaandikiwa 'Pending for Selection' mara 'Selection on Progress' tangu round ya kwanza hadi ya nne imeandikwa hvyo hvyo tu hahahahaha. Halafu ukiwauliza wanakwambia subiri mchakato unaendelea hahahahaha!

Chuo ni sehemu wasomi walipo kuanzia walimu hadi wanafunzi, sasa mara nyingine unashindwa kuelewa huu usomi wa watanzania una matatizo gani?.?.? mbona wanakwama hata vitu vya kawaida kabisa ambavyo havihitaji hata punje ya elimu?.?.?.

Mm nilidhani chuo tena chuo kikuu ndio kingekuwa mfano hai wa namna wasomi wetu wanavyo act na ku behave lkn ni contrary kabisa.....!

Hahahahahahahaha!

IT ya bongo bado sana sasa kama walimu wao wako ivi hizo product zinaa kuajeee..nime amini kwel Tanzania hakuna wana sayansi bali kuna watu wanao soma sayansi upuuzi tu
 
Back
Top Bottom