Mwl NYERERE hali hiii, huiita kasumba, kujali majina ya kimagharibi na kudharau majina ya jamii yetu, masaki, oysterbay na mikocheni si makazi ya wazawa wa jiji la Dar es salaaam, majina hayo uliyoyataja ya maeneo ya uswazi ni majina ya asili ya Wazaramo, wandengereko,wakwere na wazigua, hata usukumani hakuna majina ya kimagharibi nakupa tano shujaa wangu wa leo, rais wa zamani kongo[zaire] marehemu MOBUTU SESESEKO KUKU MBANGA, alilitambua hilo na kufutilia mbali kasumba hiyo, eti leo hii mtu anasagia YANGA na SIMBA na kudai kuwa timu yake ni MANCHESTER UNITED/ARSENAL/LIVERPOOL NK , mmmmh kasumba kasumba kasumba basi ondoka bongo nenda hukohuko au lipia uhamiaji kibali cha kuishi hapa nchini, vilevile hata hao wazazi wako siyo maana hawana ubora wa wazazi wa huko mbele, kama utadai eti vitu vyetu havifurahishi ndo maana huvishabikii basi ondoka nenda hukoo kabisa na badili mpaka jina lako na kana wazazi wako.