mtoto wa maskini
JF-Expert Member
- Jun 28, 2013
- 1,152
- 638
nyanzobe , nyanzara , nene
Haya ni ya kinyamwezi kama jina lako lilivyo utakuwa unatoka TaboraNyanso, Kapemba, Kalunde, Misayo, Kutogwa, Chellu, Mwilwa, Mkola, Mazila na Mwasi.
Ehh, akina Fundikira wanatunza sana majina ya Kilugha. Safi sana
Humu ndani tuna Kichuguu (Kibubunswa) Samahani nilifikiri majina yote...............
Nyanjige sio lakisukuma hili la kijitaNgolelwa,Shilolile,Dalahile,Yose,Nyanjige,Sundi,Kabula,Sabuda,Lemi,Milembe,Butogwa,Ng'wipagi,Nyanzala,Beyonce, Rihanna,Ngolo,Bukombe.
Hivi minza maana ake nini? Nalipenda sana hill jina..mengine ni n'gwalu , milembe, chella,kagoli,geha na mkamiti.Nshoma,Nkeya,Minza,Hollo,Nkwaya,Nkwimba
Mjomba wasukuma na wanyawezi ndio wamoja...tofuati ni location tu..wasukuma maana yake wa kaskaziniHaya ni ya kinyamwezi kama jina lako lilivyo utakuwa unatoka Tabora
Kwangu sio jina, ni hadhi anayopewa toto la mwishomungule
nyamizi
kwangu
............
Asee hilo jina la 3 "mbula"kwetu ni tusi kubwa sana!Kwihaya
Nyabusu
Mbula
Nyamiji
Mabisi
Balatogwa
Nyungi
Bankolwa
Ng'wiza
Bingile
Mpelwa
Bugumba
Mageni
Nyamalwa
Mija
Nkwimba
Matama
Mbalu
Bunani
Solanyhiwa

Hata sijui maana yakeHivi minza maana ake nini? Nalipenda sana hill jina..mengine ni n'gwalu , milembe, chella,kagoli,geha na mkamiti.
Kwenye lugha nyingi kuna baadhi ya majina ni unisex kwa mfano Tracy na Stacy
Inawezekana,maana mtoto anaezaliwa baada ya kulwa na Dotto anaitwa Shija,anaemfuata Shija anaitwa MhojaNgolo,Ng'washi,Mbalu,Luli,Bhozu,Saana, Luja....
Hivi Kulwa na Doto asili yake si usukumani ama?
hayo majina ni maarufu sana Shinyanga TownNg'wana makani,Ng'wana Derefa,Ng'wana Ng'wandu,Ng'wana Hollo.Shilungushella
Sijawahi sikiaNgulungulu
Mwilapwa
Ntundu
Shitalati
Bagenyi.