Sio jina la Kisukuma ni Wajita na Waruri.Nyanjige
Machozi...Kuna mtu uku msukuma anaitwa MISOJI maana yake nini
Ni la kike pia...Misoji siyo jina la kike...nimesoma na jamaa mmoja Pugu sir name yake ilikuwa ni Misoji....ni msukuma pia.
Ngulungulu
Mwilapwa
Ntundu
Shitalati
Bagenyi.
kwa wengine tusi etiSundi...hili pia nalipenda.
Mnyapule, chivihi,chivedachi,valeke, nk
KaundimeBinafsi majina ya kike wa Wasukuma hunisuuza sana moyo wangu. Ni jina gani la kike la Kisukuma ambalo wewe mwana JF unalipenda? Mimi ninayo kadhaa....
Limi
Misoji
Mihayo
Kabula
Kudahwa
Nsungi
Nana...........
Nyamulega siyo SukumaNyamulega