Majina ya kike ya Kisukuma

Majina ya kike ya Kisukuma

Binafsi majina ya kike wa Wasukuma hunisuuza sana moyo wangu. Ni jina gani la kike la Kisukuma ambalo wewe mwana JF unalipenda? Mimi ninayo kadhaa....

Limi
Misoji
Mihayo
Kabula
Kudahwa
Nsungi
Nana...........
Kumbuka Mihayo hata mwanaume anatumia...ulimhola?
 
Hili litakuwa la Wasukuma. Wanyamwezi wa Dakama sidhani kama tunalo au tunalitamka kivingine. Maana wakati sisi tuna Sizya, wao wana Shija. Ila maana ya Shija ni ile ile. Pia Mapacha kuna Mpasa/Mbasa na Mtunda yaani Kurwa na Doto.

Hili la 'wande' nimevutiwa nalo ila sijui maana yake. Nyani Ngabu na mkuu Sikonge nisaidieni kujua maana yake...
 
Olowatunde
Mororinkaoyosuluwe
Alekeji
Omonkule
Igwee
Shentele
Inwochu
Ayefowo
Akinle
Abonkwa
 
Janet magufuli
Shilek
Mwana shep
Gap
Samike
Butogwa
Sundi
 
Back
Top Bottom