Majina ya kike ya Kisukuma

Majina ya kike ya Kisukuma

Shinjiwa, Magali, Mpejiwa. Mayeji, Maguhwa. Butamo, Ndalahwa, Bukula, Ng'haiwa, Dalahile, Byedile, Balekele, Bingile, Shinjiwa
 
kinyoka , kandege, kidege mahi, vandu makoko, zamahimba , na ngonyani wa futuhi yote hayo ni ya kanda ya ziwa
 
Binafsi majina ya kike wa Wasukuma hunisuuza sana moyo wangu. Ni jina gani la kike la Kisukuma ambalo wewe mwana JF unalipenda? Mimi ninayo kadhaa....

Limi
Misoji
Mihayo
Kabula
Kudahwa
Nsungi
Nana...........
Batuli
 
Kwangu....ni mtoto wa mwisho kuzaliwa ndiyo maana huipewa hilo Nina
Misoji...hupewa mtoto jina hilo endapo mtoto anazaliwa na mtu mhimu akafariki mf bibi ,babu,uncle wake
Shiija.....ni jina ambalo mtoto huzaliwa baada ya kutanguliwa na watoto mapacha ...yani wanzaliwa watoto mapacha 2....akija kuzaliwa tena mtoto mqingine huitwa shija
Limi ....hupewa mtoto akizaliwa kipindi cha jua Kali mf mwenzi wa 7-9
 
Sio jina la Kisukuma ni Wajita na Waruri.
Hili ni jina la kisukuma. Ninae ndugu wa damu atumiae jina hili na karithi kwa bibi shangazi yake baba.
Wajita wanaita 'Nyanzige' yote kwa pamoja humaanisha mtoto wa kike aliyezaliwa kipindi cha nzige!
 
Back
Top Bottom