CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,255
- 12,872
Umemisika na mimi
Salimia wajina wangu...
Umemisika na mimi
R.I.P wanajamvi!
Mwenyez Mungu awapumzishe kwa aman! Amen!Nadhani ni vema kuwaenzi na kuwakumbuka mashujaa wetu waliofariki kama alivyopendekeza PJ kwenye posti moja hivi. Mimi naanza:
1. Juma Kidogo
2. Baruti Mwesiga aka Kandambili
3. Profesa Jwani Mwaikusa
4. Regia Mtema
5.
ZimefikaSalimia wajina wangu...