Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,968
- 727
Kale ka-tuhuma ka kutumia jina la mtu kupiga book mbona hukukataja kwenye hiyo list? Au kenyewe ni minor hakako-counted (neglected)? Au kenyewe ni kwa ukweli,....Just curious.
Ushauri wa BURE: This time husikubali Marando akakushauri kisheria ukawasamehe hao waliokutuhumu. Nenda mbele ya sheria ili upate haki yako na sisi wananchi tusiamini kuwa na wewe HKigwangalla ni FISADI KIJANA.
Ushauri wa BURE: This time husikubali Marando akakushauri kisheria ukawasamehe hao waliokutuhumu. Nenda mbele ya sheria ili upate haki yako na sisi wananchi tusiamini kuwa na wewe HKigwangalla ni FISADI KIJANA.