Mkuu HKigwangalla,
Nakubaliana na wewe kwa mambo mengi uliyosema....kwamba si dhambi kwa Mbunge kupata misamaha ya kodi na si za dhambi kwa yote uliyosema kwamba si dhambi! In fact, si dhambi vile vile hata kama ingekuwa ni kweli unamiliki 78% ya hisa na Shemeji akawa anamiliki 22%......NARUDIA, sio DHAMBI na yeyote anayeona hayo ni dhambi basi hatupe hoja za maana hapa!!
Hata hivyo, bado hapa umetenda dhambi, tena dhambi iliyotajwa hata kwenye Misahafu ya Dini; dhambi ya UONGO!
VOICE......SAUTI inakushitaki! Waandishi wa Riwaya/Tamthilia/Scripts(sana sana Scripts ambazo zinabeba Dialogue nyingi zaidi) nazani watanielewa zaidi ninapozungumzia suala la SAUTI! Unaweza kujiona kwamba kilichopo mbele yako ama unachokitoa mbele yako ni MAANDISHI tu lakini kwa mwandishi wa Script anaweza kuisikia kabisa sauti yako kutokana na maandishi yaliyopo mbele yake!
Hapa nilichogundua ni kwamba umedanganya kusema wewe unamiliki 40% na Wife anamiliki 11%. Hapa wala siwezi hitaji uthibitisho wa BRELA coz' I know huko BRELA ndivyo inavyosomeka, Kwamba HK anamiliki 40% na Mrs. HK anamiliki 11%! Swali ni dogo tu; je, 49%(au sehemu yake) umemmilikisha nani kwa niaba yako? Kuwa mkweli hapa ili upunguziwe madhambi ya Uongo ingawaje bado nitataka kufahamu ni kwanini ummilikishe mtu mwingine kwa niaba yako! Unakwepa nini?
Nakubaliana na wewe kwa mambo mengi uliyosema....kwamba si dhambi kwa Mbunge kupata misamaha ya kodi na si za dhambi kwa yote uliyosema kwamba si dhambi! In fact, si dhambi vile vile hata kama ingekuwa ni kweli unamiliki 78% ya hisa na Shemeji akawa anamiliki 22%......NARUDIA, sio DHAMBI na yeyote anayeona hayo ni dhambi basi hatupe hoja za maana hapa!!
Hata hivyo, bado hapa umetenda dhambi, tena dhambi iliyotajwa hata kwenye Misahafu ya Dini; dhambi ya UONGO!
VOICE......SAUTI inakushitaki! Waandishi wa Riwaya/Tamthilia/Scripts(sana sana Scripts ambazo zinabeba Dialogue nyingi zaidi) nazani watanielewa zaidi ninapozungumzia suala la SAUTI! Unaweza kujiona kwamba kilichopo mbele yako ama unachokitoa mbele yako ni MAANDISHI tu lakini kwa mwandishi wa Script anaweza kuisikia kabisa sauti yako kutokana na maandishi yaliyopo mbele yake!
Hapa nilichogundua ni kwamba umedanganya kusema wewe unamiliki 40% na Wife anamiliki 11%. Hapa wala siwezi hitaji uthibitisho wa BRELA coz' I know huko BRELA ndivyo inavyosomeka, Kwamba HK anamiliki 40% na Mrs. HK anamiliki 11%! Swali ni dogo tu; je, 49%(au sehemu yake) umemmilikisha nani kwa niaba yako? Kuwa mkweli hapa ili upunguziwe madhambi ya Uongo ingawaje bado nitataka kufahamu ni kwanini ummilikishe mtu mwingine kwa niaba yako! Unakwepa nini?
Last edited by a moderator: