Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 17,984
- 43,472
Ndio maana nikasema mambo yanayoiheshimisha wilaya KinondoniUwepo wa vitu hivyo hauna maana kila anyeishi huko anapesa huko Kuna watu wanagombana kununua umeme kwenye nyumba za kupanga nao wanakaa kinondoni
Hivyo vitu vya kawaida kwenye nyumba za kupanga
Ila ndo hivyo wilaya ya Kinondoni ni zaidi ya wilaya ya Temeke katika nyanja nyingi tu