Majibu kwa lara 1

Majibu kwa lara 1

jibu swali

kwamba????? siogagi? kwani nimebishaaaa anti sajo walaaaaa we oga kwa raha zako masaa ishnanne maana shimo lako la taka limejaa taka laini na ngumu hahaha lazima ujiswafi kuvutia wateja competition ni kubwa jitahidi kutaste kila sampuli lol
 
JIBU SWALI ZANZIBAR BEI GANIIII? Wasikia aibu kusema waigawa bure eeeh! Halooooooo, shoga lanu mie hilooooooo! Wachaaaaa!
Shosti jiandae kesho nakupeleka kwa mwarabu!

zanzibar ndo wapi ?
 
kwamba????? siogagi? kwani nimebishaaaa anti sajo walaaaaa we oga kwa raha zako masaa ishnanne maana shimo lako la taka limejaa taka laini na ngumu hahaha lazima ujiswafi kuvutia wateja competition ni kubwa jitahidi kutaste kila sampuli lol
Hahahahaaaaaaa! Aoge apunguze harufuuuu na ile Zanzibar anayogawa bila kuoga mbona pasingetoshaaaa? Hahahahahahaaaa!
 
Mimi sijaolewa na bado naomba Mungu ila sio ili mradi kuolewa.
Lakini tunayaona jamani...
wanawake tuna makundi meeengi kwenye social networks...
Akifanyiwa jema na mumewe anapost kwa mbwembwe hadi utakimbilia kupiga magoti kumlilia Mungu nami nipe ndoa nifurahi kana naniii...
Yakimkuta sasa utasikia
" Admin naomba usinitaje, nipo kwenye ndoa mwaka wa 3 ila kuna 1,2,3.... "
ukisoma hivyo visa utasema Ee Mungu kikombe hiki kiniepuke.
Sasa huu sio unafiki????

Wanaume mnatetea najua hamjui tunayosimuliwa na wake zenu huko SECRET ROOM.
Sema wewe labda watakusikiaa!
 
mpuuzi tu namuonganishia mbwa wangu hapa
Tobaaaaaaaaa! UNAMGEA HADI MBWA WAKO MWEEEEEEE! Yewiiiiiiiiiiiii, kweli sajo umetishaaaaaa! Mbwa kabisa unamuwekea zanzibar yako afaidiiiii? Khaaaaaa! Nimelulubali!

MPE TU SI YAKO LAKINI,! Mmmmh! We mtoto nomaaaaa!
 
Tobaaaaaaaaa! UNAMGEA HADI MBWA WAKO MWEEEEEEE! Yewiiiiiiiiiiiii, kweli sajo umetishaaaaaa! Mbwa kabisa unamuwekea zanzibar yako afaidiiiii? Khaaaaaa! Nimelulubali!

MPE TU SI YAKO LAKINI,! Mmmmh! We mtoto nomaaaaa!

ongea bei ya hicho kifunza mbwa wangu amesema sura atavumilia
 
ongea bei ya hicho kifunza mbwa wangu amesema sura atavumilia
Wachaaaaaaa weeee! Eeeeeh! Mbwa anavumiliaSURA YA ZANZIBAR YAKO!? Hahahaaaaa! Usijekungatwa tu kalio na zanzibar yote ikajeruhiwaa! Ponda rahaaaaa, ponda rahaaaaa shosti langu la ukwee hilo! Lipstic niliokipaka mchana urudishe anti sajo sio kujikaushaaaa!
 
Mimi yangu nilimaliza jana,hapa kuna mambo mawili ambayo ndo yanafanya kuwe na mkanganyiko,moja ni swala la umri ambalo ndo lara 1 analipigania,lingine ni taasisi ya ndoa kuitwa ya unafiki ng`wana ong`wa kulwa analipigania,kila jambo lina mazuri na mabaya yake,kuna mazuri ya kuchelewa kuoa/kuolewa na kuna mabaya yake hali kadhalika kuna mazuri na mabaya ya ndoa.

Mabaya ya kuchelewa kuolewa hayatufanyi tuwahukumu kwamba ndo mmekosa kabisa na kwamba hamfai,hali kadhalika mabaya ya ndoa au changamoto zake yasiwafanye kuihukumu taasisi hii kuwa ni ya unafiki.Ukweli ubaki kuwa ukweli.

Nimekuelewa sana tu
 
Last edited by a moderator:
Whateveeeer! Leo niko na aunt Sajo special day yake leo! Ila wewe coz nimekuja bila unafiki hunipi shidaaa! I WONT GROW UP, WHAT WILL YOU DO ABOUT IT?
I don' t give ----..go ---- urself..
 
Acha ushamba na ujuaji wa kitoto kitoto..grow up..do u think he has time for ur fkn crying baby arguments..
Chief naona uliniita nikajua kutu cha maana , Kumbe ni kwenye mada za hivi vitoto ambavyo hata havijui vinataka nini, don't use ur precious time to argue na hivi vitoto, vimejaa utoto mwingi nlijaribu kuongea navyo nkaona vina uswahili na utoto nkachana navyo, its too low for me , tukutane kesho downtown silver spring kuna deal ya dialysis mahali nkupe mchongo.
 
Lara1 ni binti aliyeikosa ndoa, hivyo anajaribu kuwakatisha tamaa wenzake na kuiponda taasisi hiyo!!! Anasumbuliwa na ugonjwa fulani unaitwa INFERIORITY COMPLEX, kama kuna mwanajamvi ana utaalamu wa kisaikolojia amsaidie huyu binti, kwa kweli yupo kwenye hali mbaya sana!!! SHE IS SUFFERING SERIOUSLY.

Huyu ni kahaba tena yupo above 40 yeara ss yeye ameshindikana na ameshindwa kupata ndoa, anawaonea wivu waliopo ndoani na anajaribu kuwashawishi waliopo nje ili apate wafuasi,
 
Back
Top Bottom