huu mtanange si wa kukosa...
Hadi nimetamani kuoa loh
Sidhani kama kuna mdada anapenda kuishi bila ndoa maisha yake yote ila hutokea tu akajikuta umri umeenda na yupo kwenye hali hiyo. Alichokiandika yule mdada ni kuwa courage wasijione wao ni tofauti na maisha yaendelee sikudhani kama aliwakosea waliokua ndoani mpaka kupatiwa majibu.
Naisi kama lala1 analindwa make sred yangu nimetuma mwanzo kabisa kusapoti mada but siioni mpaka sasa natuma nyingine.
Hadi nimetamani kuoa loh
Basi nachelea kusema sikumwelewa Lara1, mie niliona mantiki ya sred ile ilikuwa ni kwamba, wanawake kati ya 30-40, walio wanaopata pressure katika jamii kuolewa, wawe makini, wasikubali kuwa bullied. Sababu kubwa ikiwa ni kuwa si kila ndoa ina furaha(japo wengi hawasemi), na maisha yote yana changamoto.
Omba Mungu upate mke mzuri,na usiwe muoga wa changamoto ndogondogo!
Manake wanaume wa siku hizi jambo dogo tu anakimbilia kuvunja ndoa ama kutafuta mchepuko
Na nasema hiviii..Ikifikia lara1 anatolewa japo mahari tu,asisitite kutujuza hapa.
Mi nlivomuelewa, wasichana wasiwe na presha sana ya kukimbilia kwenye ndoa, kwasababu ata hao walio kwenye ndoa sio kwamba wana raha saaana.Unafki umewatawala.
Binafsi namshukuru Mungu kwa miaka nliyonayo kwenye ndoa.Surely bado sijajuta.
ni kweli mkuu changamoto ndogondogo zipo tu kama kulala bila nguo, ni changamoto