Majibu kwa lara 1

Majibu kwa lara 1

Naisi kama lala1 analindwa make sred yangu nimetuma mwanzo kabisa kusapoti mada but siioni mpaka sasa natuma nyingine.
 
Sidhani kama kuna mdada anapenda kuishi bila ndoa maisha yake yote ila hutokea tu akajikuta umri umeenda na yupo kwenye hali hiyo. Alichokiandika yule mdada ni kuwa courage wasijione wao ni tofauti na maisha yaendelee sikudhani kama aliwakosea waliokua ndoani mpaka kupatiwa majibu.

Ni kweli mkuu kapitie tena uzi ule, kunakakitu kana kandamiza ndoa hako ndo nakafuatilia hapa?
 
Basi nachelea kusema sikumwelewa Lara1, mie niliona mantiki ya sred ile ilikuwa ni kwamba, wanawake kati ya 30-40, walio wanaopata pressure katika jamii kuolewa, wawe makini, wasikubali kuwa bullied. Sababu kubwa ikiwa ni kuwa si kila ndoa ina furaha(japo wengi hawasemi), na maisha yote yana changamoto.

hata mi nilielewa hvyoo
 
Na nasema hiviii..Ikifikia lara1 anatolewa japo mahari tu,asisitite kutujuza hapa.
 
Mi nlivomuelewa, wasichana wasiwe na presha sana ya kukimbilia kwenye ndoa, kwasababu ata hao walio kwenye ndoa sio kwamba wana raha saaana.Unafki umewatawala.
 
Mi nlivomuelewa, wasichana wasiwe na presha sana ya kukimbilia kwenye ndoa, kwasababu ata hao walio kwenye ndoa sio kwamba wana raha saaana.Unafki umewatawala.

Mkuu hiki bolded ndiyo nilichokijibu kwenye post yangu mengine hata mimi namuunga mkono.
 
Back
Top Bottom